Tuesday

VIPI UNAMTAMBUA MSICHANA HUYU MDADA....?


SEAN KINGSTON KUPIGA SHOW UGANDA....JULY 2011!

 


Entertainment Indusrty ya nchini Uganda inazidi kupanuka,hasa baada ya wasanii wa huko kuwaleta sana wasanii toka nje ya Afrika kwenda kupiga show kwenye jijini la Kampala kwenye uzinduzi wa album zao na showz nyingine!
Kwa sasa msanii toka Jamaica,Sean Kingston anatarajiwa kupiga show itakayoitwa Street Jam itakayofanyika tarehe 29 July,2011 na kutarajiwa kudondosha hit songs zaki kali kama Me Love,Face Drop,Beautiful Girls na nyingine kibao....Na ataletwa chini ya udhamini wa The East Africa’s leading Talent Agency toka Uganda iitwayo Talent 256 kwa sasa Talent Africa

Sunday

Je ni kweli kua 50cent na Ciara wana Sex Tape?

                                                                  
Baada ya uvumi uliosemekana na kuja kua kweli kua Ray J na Kim Kardashian wana na Sex Tape na hatimae ikaja kutoka kweli na kusambaa all over the world….sasa sasahivi umezuka Uvumi mpyaaaa kua kiongozi wa kundi la G.Unit yani 50cent nae ana sex tape ambayo inamuonesha akiwa na mwanadada ambae ilishawahi kusemekana kua walikua wapenzi hapa namzungumzia Ciara mbali na hayo yote mtandao huo huo uliotangaza kua una sex tape ya 50cent na Ciara yani wakiwa wanafanya mambo yao ila inavyosemekana kua mtu mzima haonekani kwenye movie hiyo ila watu waliweza kuujua mwili wake japokua kichwa kilikua hakionekani ila Ciara ndo anaonekana LIVE! bila chenga na pia si hayo tu jana umetangaza kua kuna Sex Tape mpyaaaaaaa ya mwanadada ambae alikua ni mmoja kati ya waanzilishi wa kundi la Destiny's Child mwanadada Kelly Rowland…..mtandao huo unaojulikana kama Mediatakeout.com ni mtandao ambao umeshawahi kutoa sex tapes za Ma-star wengi sana duniani sasa je na hizi zitakua za ukweli nini?

RUMOURS....DRAKE AJITOA YOUNG MONEY?

 


DRAKE
Kuna rumors kuwa Rapper toka Canada,Aubrey Drake Graham aka Drake kuwa amefukuzwa Young Money baada ya kusemekana kuwa alizinguana na mabosi wake Baby na Lil Wayne
LIL WAYNE NA BIRDMAN
Inasemekana kuwa Drake alikua anadai mkwanja wake uliopita Young Money na na pia kudai mkwanja zaidi kutokana na mchango wake alioutoa hapo Young Money!
 

MAURICE KIRYA KUPIGA SHOW NA JORDIN SPARKS!


MAURICE KIRYA
Msanii Maurice Kirya toka Uganda anaendelea kung'ara kimataifa kila kukicha,kwani baada ya kushinda tuzo za Radio France International Discoveries Award( RFI) anatarajiwa ku-perform pamoja na model na muigizaji na artist,Jordin Sparks
JORDIN SPARKS
Show itafanyika pande za Posh hotel jijini Arizona,Marekani.Na Maurice Kirya alifunguka kuwa “anajisikia furaha sana kupata shavu hilo,coz Jordin Sparks ni mmoja wa wasanii wakali duniani kwa sasa,coz tangu aliposhinda American Idol ana hits kali kama Battle field,No Air ambayo amefanya na mkali wa RnB Chris Brown

FANTASIA....APIGA SHOW PEKU PEKU!



....HAPA AKIWA NA VIATU KAMA KAWA,SHOW INAENDELEA!
Fantasia Monique Barrino,Msanii wa R&B na Soul aka Fantasia hivi karibuni alifanya kituko cha mwaka baada ya ku-perform kwenye concert akiwa na viatu na baadaye kuvivua na kubaki peku peku
Fantasia alikua anapiga show pande za Horseshoe Casino,Indiana na kuamua kuwapa fans wake zawadi ya kusikia sauti yake tamu na pia nafasi ya kuiona miguu yake kwa kumuita bouncer amvue viatu...duuuh!
....BAUNSA AKIMVUA VIATU!
....KAAZI KWELI KWEEELI!

2 Lil Wayne Security Guards Arrested For Impersonating Police Officers

Two Lil Wayne rent-a-cops are in trouble today for impersonating a public servant. Ronald Andre Harrod, 43, and Larry Lee Richardson, 23, are accused of wearing police-type uniforms and gun belts as they drove a caravan of tour buses from Assembly Hall in Indianapolis to a local nightclub according to WISH-TV.

Police said Richardson was leading the caravan in an unmarked Crown Victoria with flashing red and blue lights and sirens blaring at about 1:40 a.m. Wednesday (April 13). Harrod was following the caravan in a Dodge Intrepid with red and blue lights flashing.


Basically these two got gassed up they were escorting Lil Wayne and pretended to be Starsky and Hutch for a night.

UKIMYA WA MATONYA KUMBE YUKO SHULE ANASOMA KENYA.


Watu walikuwa wakijiuliza Matonya yuko wapi mbona kimya, hatimaye nimefumana nae maeneo fulani na kuniambia kuwa alikuwa kwenye tour huko Mombasa Kenya. Ila wakati yupi Nairobi alikuwa studio akitengeneza wimbo na msanii wa huko huko Nairobi anajulikana kwa jina la Nonini, mbali na Nairobi pia ameshatengeneza biti kwa producer Dunga na akirudi anaishughulikia na wimbo huo ameupa jina la "UTAKWENDA KULA ULIPOPELEKA MBOGA"

Pia Matonya amenidokeza kwa sasa anapiga kitabu kule Kenya ila amesema ni mapema sana kusema anachokisomea mpaka akipata cheti ndio atasema alikuwa anasomea nini. Kwahiyo amewaomba mashabiki wake kwa sasa wawe wapole tu mnyamwezi wenu atakuwa kitaani muda si mrefu.

Wednesday

BEYONCE KNOWLES KUTUMIA DANCERS TOKA AFRICA!



Beyonce Knowles aka shemeji kwa Jay-Z aka Queen B inasemekana amewakodisha dancers wapatao 200 toka Africa kwa ajili ya shooting ya video yake ya 4
BEYONCE AKIFANYA MAZOEZI NA DANCERS TOKA AFRICA
Dancers hao kwa sasa wako jijini Los Angeles wakimfundisha Beyonce kucheza kwa swagga za kiafria,ili apate kuzijua na pia ku shoot nae video yake mpya inayosemekana itaitwa Girl na video hiyo itatoka mwezi June mwaka huu na hivi karibuni akipiga picha aka photoshoot kwa ajili ya album yake jijini New Jersey,alipiga picha na pozi kibao akiwa kwenye mavazi au nguo 70 tofauti na March 28,2011 alitangaza kuwa meneja na baba yake Mathew Knowles kuwa sio meneja wake tena

MKALI WA RnB TOKA TANZANIA....Q JAY AOKOKA!


JOSEPH KELVIN MAPUNDA AKA Q-JAY
Mkali wa RnB Tanzania ambaye kwa sasa anaendelea kula matunda ya ndoa,Joseph Kelvin Mapunda aka Q-Jay kwa sasa ameokoka na kuamua kumfuata yesu!
Q-Jay amekuwa akitolea nje concert kibao ambazo anaalikwa kwa ajili ya kufanya show,kutokana na imani yake mpya aliyonayo sasa,na amefunguka kuwa “mziki niliokua nafanya ulikua ni wa dunia na ningewashauri wasanii wenzangu wote wanaoimba nyimbo za dunia kuufata wokovu na kuachana nazo,kwa sasa nimepumzika kufanya shughuli za mziki lakini kuanzia mwezi wa sita nitaanza kurekodi mziki yangu mipya ya kumtukuza mungu yaani gospel na natarajia kutoa album”....alimalizia Q Jay kwa sauti pole ya kilokole,akifuata nyayo za Stara Thomas,K Basil na Renee Lamira!
....ENZI ZA WAKALI KWANZA...Q-JAY NA MAKAMUA WAKIFANYA MIZIKI YA KIDUNIA!
Q-Jay alianza 'muziki wa kidunia' akiwa na kundi la RnB,Wakali Kwanza na kina Joslin,Makamua na wengine kibao na mara ya mwisho walitoa album ya pamoja na Makamua wakiwa chini ya MJ Records na nyimbo zake za kidunia kama Sifai featuring Joslin,na collabo kama Kitu Gani,Nakupa Sifa alizinukisha vilivyo

SWIZZ BEATZ ATAJA....TOP 5 RAPPERS WAKE!




KASSEEM DAOUD DEAN AKA SWIZZ BEATZ
Top Producer Kasseem Daoud Dean aka Swizz Beatz amefunguka na kuwataja top five favorite rappers wake kwa mwaka 2011,akiwemo Kanye West na upcoming star toka Roc Nation,J Cole
Pamoja na kuwa karibu na Rapper Jay-Z,lakini Swizz Beatz hajamtaja kwenye list yake,wengine walio kwenye Top 5 Rappers ya Swizz Beatz ni....
Rick Ross
Drake
Wiz Khalifa
Jadakiss
na pia amewataja Top 5 upcoming artist wake kuwa ni,Sean Cross,J. Cole,Wiz Khalifa,Nipsey Hussle na Fred Da Godson
Kwa sasa inasemekana kuwa Swizz Beatz kwa sasa yuko studio aki-recordi studio album yake ya 2 iitwayo Haute Living,ambayo itatoka baadaye mwaka huu

PRETTY GIRL ROCK....AMWAGA RADHI!



R&B Recording artist na songwriter toka Marekani,Keri Lynn Hilson amefanya kituko cha mwaka baada ya kuamua kupiga picha ya kwenye jarida la Allure akiwa hana nguo mwilini aka naked kabisaaaaa....
Kery Hilson alipigwa picha na Patrick Demarchelier,na amefunguka kuwa “tunafanya vitu vingi,na nina handbags za thamani na kila kitu ila shooting ya jarida hili ni kuvitupa hivyo vyote na kulipamba jarida”
Allure Magazine ni jarida maarufu sana nchini Marekani ambalo linajihusisha na urembo kwa wanawake,na huchapishwa kila mwezi na lilianzishwa mwaka 1991 na Linda Wells

Monday

10 Questions for Travis Porter

Travis Porter may have been hungry when they entered a conference room at their record label, but you’d never know. What the hip-hop trio did show, however, was their stomach-churning sense of humor. “Are my lips ashy?” Ali asked his step-brother Quez, before he replied, “No. Are my lips ashy?”

When Ali, Quez, and Strap sit down to chat with Rap-Up.com, dressed casually in denim jackets, blue jeans, white sneakers, caps, and scarves, they present quite a calm exterior. What shines through their cool demeanor are the effervescent personalities that make up the character of Travis Porter‚ much like in their video for “Make It Rain.” The 20 year olds, who formed the group in middle school, sport the desires of a man on their newest mixtape, Music, Money, Magnums.

The threesome is now embarking on the journey of crafting their Jive Records debut. The album boasts production from the likes of Bangladesh, Tha Bizness, Kane Beatz, FKi, and more. “We’re taking the Travie way. It’s a one-way ticket to Travie Land,” said Quez. Follow their yellow brick road below.

1. Can you recite any of your first raps?
Ali: “Try me/ Try me ho.”
Quez: We had a song called “Wood on Deck” [and a song called] “Teabag Dat Ho.” [Raps] “Teabag dat h-o, teabag dat ho…” That was the number one song back in Atlanta in the seventh grade. Real talk.

2. Upon getting signed, who did you call first?
Quez: I called my moms. Actually we signed on the road. We signed in Milwaukee. We had gone to a FedEx/Kinko’s, printed the papers out, and sent it in.
Strap: Yeah, I called my moms, too.
Ali: I didn’t call nobody!

3. Are you all single?
Ali: Yes we are! I’ve never been this single in my life.
Quez: I’m single and ready to mingle.
Strap: I’ve never been this single before.

4. What’s the oldest woman you would date?
Quez: “Date” is not the word. I really don’t want to go over 32. That’s my limit.
Strap: The oldest woman I would chop it up with would probably be 28.
Ali: We really don’t want to go over that age.

5. Who would play you in an movie of your life?
Strap: I want one of my little cousins to play me.
Quez: Which one, Kash?
Strap: I want Philos.
Quez: Philos don’t even look like you! We got some bad lil’ cousins.

6. Where do you see hip-hop going in the next five years?
Strap: We’re going to save it.
Ali: Hip-hop is great. There are different parts of hip-hop.
Quez: That’s how I feel too. People trying to be like, “Y’all ain’t real hip-hop because y’all aren’t making the same type of music they’re making.”
Ali: I believe there’s going to be different genres breaking out of hip-hop.
Quez: We’ll probably just break off into our own genre of music. [They would say] “Y’all not hip-hop! Y’all not hip-hop!” I know we’re not hip-hop!

7. Who do you think are some of the most underrated rappers in the genre right now?
Quez: My ni**a Short Dawg is underrated. We’re underrated.
Strap: A lot of people don’t give us the credit we deserve. A lot of people think that we got here overnight.
Quez: Overnight. I hate that line. “So, how do you feel about your overnight success?” What do you mean? We’ve been through that. You’re just now onto it.
Ali: Do your history.

8. Your song “Make It Rain” is a party starter. If you were DJs for a night, what songs would you spin during a set?
Quez: We gotta play “Racks on Racks” [Yung Chris]. When we’re partying in the A, we gotta play “Make It Rain.”
Strap: “No Hands” [Waka Flocka Flame].
Quez: You gotta play “9 Piece” [Rick Ross]. [Imitates Ross] Ugghhhh!
Ali: You gotta play that “Fire Flame” [Birdman].
Strap: You gotta play [our song] “Doggin’.”
Quez: And [our song] “Bring It Back.” The girls, they might be out their clothes by then. The party is over!

9. What do you fight about?
Quez: Stupid stuff, like, “Why you all in my seat man?” or “Hey bro, let me get a chip!”
Strap: Or, “Why you open my chips, bro?”
Quez: Just crazy stuff. Nothing like…
Ali: “Eh, bro, you f**ked my girl!”
Quez: “Why you hit my girl?” Nothing like that.

10. What keeps your bond strong?
Quez: Just by being around each other. We’re a family!
Ali: We live together.
Strap: You can’t create a bond.
Quez: That’s like, “Hey bro, why you f**k with your brother?” Because he’s my brother!

Bruno Mars to Debut ‘Lazy Song’ Video

Bruno Mars is gearing up for a lazy week. The R&B crooner will premiere the video for “The Lazy Song,” the third single off his breakthrough Doo-Wops & Hooligans on Thursday, April 14, at 12 p.m. EST on MTV.com and VH1.com, while its television debut comes later that evening at 7:56 p.m. on MTV.

The 25-year-old Grammy winner, who is following his smash singles “Just the Way You Are” and “Grenade,” will also hit the road with Janelle MonĂ¡e on their North American “Hooligans in Wondaland” tour. The trek, which kicks off on May 4 at NYC’s Roseland Ballroom, will make stops in Atlanta, Chicago, San Francisco, and more through June

Keri Hilson, Ciara, Nelly, Snoop Dogg, & Bow Wow Kick Off Supafest Festival

Hip-hop and R&B’s brightest stars traveled Down Under for the first date of Supafest 2011, Australia’s largest urban music festival. “Pretty Girl” Keri Hilson lit up the stage in a studded denim jacket, black bra, and cutoff shorts while performing material from her No Boys Allowed album live for the first time at Sydney’s ANZ Stadium.

Ciara wowed thousands of festivalgoers with her well-choreographed moves and tight abs as she and her troupe of dancers worked up a sweat onstage. Hip-hop hunks Nelly and Bow Wow had the ladies swooning, the latter repping for his crew in a white YMCMB T-shirt.

Timbaland pulled out of the gig at the last minute, but Game, T-Pain, Fat Joe, Busta Rhymes, Taio Cruz, and the New Boyz made up for his absence with their lively sets. Snoop Dogg brought the West Coast to the land of Oz, closing out his performance by sharing the stage with Bow Wow on the classic “Who Am I (What’s My Name)?”

The four-date festival will also play Perth, Brisbane, and Melbourne, and is expected to attract over 100,000 music fan

Thursday

IF YOUR SHY GIRL,THIS LOVE TIPS WILL HELP YOU.

In today’s society, dating has become very common. Everyone wants to meet that special person to find love and to stay happy. However, there are some people who find this whole idea of dating to be a waste of time for they believe in other forms of finding love. And on another hand, there are some girls who fear the word itself.

Last week while we were partying, a friend of mine saw a handsome young lad sitting across the bar, wanting to go over to talk to him was one desire, but, every time we told her to approach him her body would be covered with goose bumps! Now, here is one thing you would find in most of the young girls.

If you are a shy girl, here are some dating tips for shy girls which will help you get your man.


1. If you are looking for a date, try to first figure out what type of flirting style you are. Flirting styles are of five types. So if you are a traditional flirting style , then definitely you would be a person who would want your man to walk up to you and ask you out on a date.

2. The perfect dating tips for shy girls are to first be confident. Try to find out a little bit of the man you would want to date and be prepared as to what type of questions he would ask you. On the date, if he focuses only on you try to change the moment and ask him questions related to his life too.. Being interactive is the best way to go for shy girls.

3. The best dating tips for shy girls is to keep in mind is to be interactive and smile whenever he looks at you. Try to be yourself and you will see that the date will go on perfectly fine. Breathe in and out to control your fear and relax to let things stay at ease while you are with your date.

4. Be on the safe side and stay away from alcohol. Consuming alcohol can spoil your night and your chance of getting to know the person who admire. When you are shy, the best dating tips for shy girls is to leave a good impression by staying calm and letting things flow easy into the night.

Last but not the least, do not forget to impress! The best dating tips for shy girls is to look natural and stay beautiful with a smile which will melt the man before you.

Lyrics


Sometimes, I feel like I’m going out of my mind
Boy the way you do me its a damn crime
But then you smile at me and its alright
With you there ain’t no in between
Every time that i walk out the door
Tell myself i cant take it no more
Theres a part of me wont let you go
I keep saying yes when my minds saying no

Me and my heart we got Issues
Don’t know if I should hate your or miss you
Damn I wish that I could resist you
Cant decide if I should slap you or kiss you
Me and my heart we got issues (Issues, Issues

It’s over boy you leave me hanging for so long
You empty out my love until its all gone
You change the words but its the same song
I’m tired of the melody
Change my number and throw out your clothes
But my feelings for you they still show
I keep building a wall round my heart
Then I see you and it all falls apart

Chorus

Why fight it, cant hide it
Truth is i think i like it
Confusion, illusion
Still I don’t know which way to go

PIPI KUZUNGUKA NCHI 6 NA UMOJA FLYING CARPET.



Mambo,
Mwezi wa pili tarehe 29 nilishiriki katika audition ya Organisation moja ya kimataifa inaitwa Umoja Flying Carpet ambayo ilikuwa inatafuta Vocalist, Dancers and Musicians. Watu 15 ndo waliohitajika na nilibahatika kuwa kati ya waimbaji wanne tuliochaguliwa, binafsi naona kama miujiza kwani sikutarajia kwamba nitaanza kuonekana kimataifa mapema hivi kwani tour hii itaniwezesha kukitangaza kipaji changu nchi mbalimbali kama Uganda, Ethiopia, Mozambique, Norway, Netherlands na South Africa.

Na pia naamini huu ni mwanzo mzuri katika jitihada za kuitangaza bendera ya nchi yangu kwa kuitangaza kupitia kipaji changu

Facts about sex

What Men Think Of While Kissing?
A lovemaking session cannot go with kissing! There are however different types of kissing types which you can please your partner in the most suttle ways. Couples enjoy the form of kissing as it helps them to really connect emotionally and


A study On Lovemaking Facts
There are certain facts of lovemaking one should believe in when couples get intimate with each other..


'Vegetable Viagra' For Lovemaking
The art of loveis beautiful which a romantic couple share when in love with each other..


Ways To Get Rid Of Love Bites
The beautiful mark of love, love bites can be a cause of embarrassment. The worst is that they don't get cured easily..


Healthy Lovemaking To Live Longer
It is a known fact that lovemaking has a lot of advantages and plus points for a happy couple..


Facts of Female Orgasm During Lovemaking
Lovemaking is the best part in a relationship which is shared between two partners who are committed to each other..


Kissing Facts To Enhance Lovemaking
The art of kissing is beautiful. It is said that kissing comes with a lot of affects which is proved to be good for one's health..


Male Reproductive Organ Facts For Men
There are so many facts that most men do not believe about themselves. Here are a few facts about male reproductive organs that you would find your self in awe..


Lovemaking Bad Habits For Couples In Love
Everyone has bad habits and in time it will fade away when we get to know personally that it is not good for our relationships with the ones we love..


Condom Myths To Enhance Lovemaking
When couples make love they usually feel out of this world. For some couples in love, they do not go according to birth control methods like that of condoms when it comes to lovemaking..


Lovemaking Facts For Health
Lovemaking is a great and easy way to get rid of ailments and other health problems..


Men Turn On By Pumpkins
To Drive each other crazy in the bedroom, here is a study done that will surprise you..


Lovemaking Facts You Should Know
Lovemaking does not always come with tips and preventive measures. Given below are some of the lovemaking facts that one should be aware of..


Oral Lovemaking May Lead To Mouth Cancer
They say with pleasure always comes a good amount of consequences. In a recent study, it is proved that the virus responsible for genital warts could trigger the onset of mouth and throat cancer..


Why Women Face Difficulty In Reaching An Orgasm?
Experts say that 70 percent of women find it difficult to reach an orgasm. Love making is a process that requires lot of co-operation from both the partners.