Wednesday

BEYONCE KNOWLES KUTUMIA DANCERS TOKA AFRICA!



Beyonce Knowles aka shemeji kwa Jay-Z aka Queen B inasemekana amewakodisha dancers wapatao 200 toka Africa kwa ajili ya shooting ya video yake ya 4
BEYONCE AKIFANYA MAZOEZI NA DANCERS TOKA AFRICA
Dancers hao kwa sasa wako jijini Los Angeles wakimfundisha Beyonce kucheza kwa swagga za kiafria,ili apate kuzijua na pia ku shoot nae video yake mpya inayosemekana itaitwa Girl na video hiyo itatoka mwezi June mwaka huu na hivi karibuni akipiga picha aka photoshoot kwa ajili ya album yake jijini New Jersey,alipiga picha na pozi kibao akiwa kwenye mavazi au nguo 70 tofauti na March 28,2011 alitangaza kuwa meneja na baba yake Mathew Knowles kuwa sio meneja wake tena

No comments: