Thursday

KUTANA NA WATU WAPYA,INASAIDIA.



Kwa walio wengi kukutana na kupata nafasi ya kujua watu wapya ni raha sana.Ila kuna wengine huona ni kupoteza muda,hujisikia hayuko huru hasa kama huyo mtu anamuuliza maswali au kumuongelesha.Ila kuna faida kubwa ya wewe kujipa nafasi ya kukutana na kufahamiana na watu wapya mara kwa mara.
Urafiki..
· Kukutana na watu wapya kunaweza kukuongezea marafiki.Hali ambayo inakusaidia kiakili na kimwili .Mtu mpya anaweza kukufundisha kitu kipya ambacho wewe ulikuwa hujui,kukupeleka mahali ulikuwa hujawahi kwenda,kula chakula ambacho ulikuwa hujawahi kula n.k
Kujifunza
· Kukutana na watu wapya kunakusaidia kujifunza vitu vipya.Ukikutana na mtu mpya utajifunza vitu vipya,mbinu mpya za kufanya jambo fulani,lugha mpya,au kuweza kukupa njia ya kutatua tatizo Fulani kwenye maisha.Ukichukua muda kumjua mtu inaweza kukusaidia kuongeza wigo wako wa ufahamu na kujua mbinu mpya katika maisha.
Uelewa
· Kukutana na watu wapya kunakupa nafasi ya kuelewa tamaduni tofautitofauti imani,wanavyoishi,wanachothamini pia.Unaweza jifunza mfumo wao wa kisiasa,makabila na dini.
Kikazi/kibiashara
· Ukikutana na watu wapya unaweza kupanua wigo wako wa kibiashara kwa kupata connections mbalimbali .Pia hakikisha unangalia huyu mtu mpya anaweza kufanya nini katika kazi yako na wewe kufanikiwa, na hata wewe unaweza kumfanyia nini pia kwake.

Kujiamini na kujisikia vizuri
· Kukutana na watu wapya kunakusaidia kujisikia vizuri wewe mwenyewe.Ikitokea mtu mpya anaonekana kuvutiwa na wewe na maisha yako kiujumla unasikia kabisa kuna kitu kinakupa faraja.Kama ulikuwa upo katika wakati unajihisi huna thamani huwezi jua mtu mtu anaweza kukufanya uanze kuona thamani yako.
Kutana na karibisha watu wapya labda kwenye hafla mbalimbali za kiofisi na kibiashara,mikutano,kwenye harusi,sherehe,hata msibani,kwenye stand,kwenye burudani mbalimbali..yaani inaweza tokea popote pale.
MUHIMU
Usiweke sura ngumu tabasamu,tabasamu lina nguvu sana hata kama hujaongea chochote inamfanya mtu asiogope kuanzisha maongezi na wewe,inasaidia sana hasa kama upo mahali kuna mkusanyiko wa watu kama kwenye mikutano,sharehe,starehe,na haumjui yoyote.Lakini ukiweka sura ngumu utashangaa unarudi nyumbani hujamfahamu yoyote maana mtu anakutazama anaona mmh huyu si mtu rahisi kuanzisha urafiki nae.

I Got 99 Problems & Your Germs Aint One: Jay-Z Takes Private Toilet With Him Everywhere


Rockers Kasabian were amazed to learn Jay-Z takes his own toilet roll to festivals. Jay-Z takes his own toilet roll everywhere with him, The '99 Problems' hitmaker stunned fellow T in the Park performers Kasabian at the Scottish festival recently when they spotted him backstage, and the 'Fire' rockers now claim they will only feel famous when they get to the same level of access to luxury items.

Kasabian singer Tom Meighan revealed: "The reason Kasabian aren't as big as Jay-Z yet? We need to have our own festival toilet paper "I noticed at T that he had a huge circus around him, his own toilet and his own toilet paper. "That's what we're aiming for next. Our own loo roll and then we'll know we're massive."

Jay-Z - who caused controversy when he became the first hip-hop artist to headline the world-famous Glastonbury festival in 2008 - has previously admitted he finds performing at multi-artist shows a "challenge."

He said: "At festivals, some people are there to see you, some people are there to see the act before you, some people have no idea who you are. So how do you take that audience of all those different people and make them focus on one point? That's the challenge."

Chris Brown & Usher Unite At ‘Reggae Sumfest' In Jamaica & Shut It Down [Pics Inside]


While Chris Brown has always made it clear that he looks to Michael Jackson for inspiration, there are nearly as many parallels to be made between Brown and Usher. And last weekend, Breezy joined Usher on stage during the Reggae SumFest 2010 in Montego Bay, Jamaica. The duo wowed audiences in the concluding night of the festival.

Brown had already performed his own set on Friday, tearing through songs like "Run It" and "Forever" and showing off his formidable dancing skills. But it was his surprise appearance during Usher's set the following day that really set the crowd off. According to TheChrisBrownBlog.com, the two were also joined onstage by Elephant Man and later engaged in a dance-off.

Video footage from the performance had not surfaced online at press time, but photos reveal the two singing together and even showing some affection with an onstage hug. Brown took to Twitter Saturday to thank Jamaica. "I wanna thank you Jamaica for your wonderful embrace last night at the show," he wrote. "Next time well do passa passa ... lmao ... (oh hell naw). Love ya!"

Later on Saturday, he tweeted about performing with Usher. "Me and Usher killin Jamaica right now," he wrote.

When Chris burst on the music scene five years ago, he was overcome with excitement when meeting Usher. "To see him face-to-face, I was like, 'OK, Chris, it's gonna be all right, just chill out right quick. You about to do the song, man, don't be no punk,' " Brown told MTV News about recording a song that was later featured in Usher's 2005 film "In the Mix."

CONCERT YA RAPPER NELLY YAWEKEWA MIZENGWE MAREKANI


Show ya kwanza ya Rap iliyopangwa kufanyika katika mji mdogo wa Branson, Missouri nchini marekani imeingia kwenye utata na maofisa wa mji huo. promota wa Concert hiyo Paul Dunn alitaka show hiyo ipigwe katika sehemu ya Parking ya ukumbi wa The Grand Palace kutokana na ukumbi huo kufanyiwa matengenezo kwa ndani. Parking hiyo inauwezo wa kuingiza watu 6000 wakati ndani ya ukumbi huo kunaweza kuingia watu 4000.

kwa mijibu wa chanzo chetu cha habari kinasema kuwa mkurugenzi wa mipango miji wa Missouri amechomoa ombi la waandaaji wa Concert hiyo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo makelele, Parking, na udhibiti wa watu watakao kuwepo siku hiyo. Mkurugenzi huyo pia amelalamika kuwa waandaaji wa Concert hiyo wanaendelea kupromote kuwa mtu mzima Nelly atapanda katika stage tarehe 21 August na pia tayari wameanza kuuza ticket za onyesho, huku wakitambua bado makubaliano hayajafikiwa.

Waandaaji wa Concert wamesema wanashangaa kuulizwa maombi mapya wakati tangu awali walishapeleka maombi, jamaa wanampango wa kukata rufaa kwa board ya jiji. Rufaa ya waandaji itaambatana na vielelezo vya mpangilio wa ulinzi utakavyo kuwa siku hiyo, pamoja na Documents zenye Signature za majirani wa eneo husika, wakithibitisha kuwa wao majirani wamebariki Concert hiyo kufanyika Branson.

inasemekana concert hiyo itaingizia mji wa Branson mapato ya dola za kimarekani laki tano.

Inawezekana uongozi wa mji huo unabana mchongo kwa sababu za kihistoria kwani mji wa Branson ni mji flani uliopoza na pia kipindi cha nyuma asilimia kubwa ya wakazi wake walikuwa ni wapenzi wa Country Music, hata wakongwe wa mziki wa Country nchini marekani kama Kenny Rogers, Wyne Newton na Pat Boone wanaishi Branson.( Yaani pamoja na muziki wa Hip Hop kuanza miaka mingi nchini marekani lakini wakazi wa mji wa Branson hawajawahi kushuhudia mwanamuziki wa Hip Hop akikanyaga jukwaa lao hata siku moja) Aiseeeee.... Dar es salaam wamekuja Rapper wangapi kutoka nchini marekani? Jiulize?

hata sisi tunawashinda Branson, na huku ni Thousands of miles....

Kwa mujibu wa waandaaji wa Concert tayari mashabiki elfu tatu wamekwisha nunua Ticket ili Kumshuhudia Mtu mzima Nelly na kundi lake la Saint Lunatics wakishusha swager za Hip Hop kwa mara ya kwanza ndani ya mji wa Branson

Wyclef Cleaf Jean Akanusha Kuwania Urais Haiti


Wyclef Jean amekanusha uvumi uliokuwa ukimhusisha na kugombea uraisi nchi Haiti, Hivi karibuni sehemu mbalimbali ulimwenguni hasa nchini marekani na Haiti, kulienea Taarifa za kuwa Wyclef Jean anajipanga kushiriki katika Uchaguzi unaotarajiwa kufanyika nchini Haiti mapema mwezi Novemba mwaka huu. wakati akifanya mahojiano na mwandishi mmoja hivi karibuni ambapo alitakiwa kueleza ana nia ya kuwania urais.

Wyclef alijibu kama ifuatvyo: " kama ningekua nimeamua kugombea ningekuambia lakini ninachoweza kusema sasa hivi ni Nooo"

Pamoja na Wyclef kukanusha uvumi huo, lakini kuna taarifa zinasema mtu mzima yupo nondo vibaya mno, na tayari amepanga Vichwa vikali vya wasomi ambapo kazi yao ni kumshauri nini cha kufanya wakati wa Kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa Raisi wa Haiti. Wiki ya kwanza ya mwezi wa ujao wa nane ndo kila kitu kitajulikana kwani ndo itakuwa Deadline ama wiki ya mwisho ya kuchuka fomu za kuwania urais so tutajua Kama Wyclef mtoto wa Jean kama atagombea ama hatagombea U president katika Taifa hilo maskini. coz akienda tu kuchukua fomu au kurudisha, Paparazi wanamsubiri na Camera zao.

Kupitia Taasisi yake ya misaada, Wyclef amewahi kusimamia uchangiaji wa Dola milioni kumi za kimarekani kwa ajili ya kusaidia wahanga wa Tetemeko la ardhi nchini Haiti, Tetemeko ambalo lilipelekea vifo vya watu zaidi ya laki tatu na kuacha mamilioni ya watu wakiwa hawana makazi.

So hiko ni kigezo cha watu kumpatia kura za kutosha jamaa.

Sipati Picha Mr. President Wyclef Jean pale kati ameapishwa, sijui ataacha music? ajja jja jja jja jjaaa.....

Tags: Akanusha, Cleaf, Haiti, Jean, Kuwania, Urais, Wyclef

T.I. Says Prison Took Him Off His Positive Path "It Did Make Me Worse In A Sense"


Almost immediately after he finished a jail bid for gun charges in March, T.I. set out to reclaim his status as a hip-hop king — hitting the mixtape circuit and huddling in the studio with Lady Gaga and Swizz Beatz. But that doesn't mean jail wasn't a serious setback. "It did make me worse in a sense. ... Putting me in prison took me off [a positive] path a little bit, and now I'm working to get back on that path — or at least back on the path to the extent that I was before I went in," T.I. told Complex magazine. Before heading to jail, T.I. was serving part of his sentence by counseling at-risk kids and notched over 200 speaking engagements warning young people about violence on the MTV show "Road to Redemption."

T.I., who is on the cover of the magazine's August/September issue, says that the jail atmosphere definitely took its toll. "I lost a little bit of my positive focus during that period of incarceration. Being in that environment and having those daily surroundings, it's going to affect you."

One result was that he actually tuned out when it came to music. "I didn't listen much to records when I was in there. Music is what I do every day. That made me more homesick than anything," he said. Instead, T.I. logged lots of TV hours to pass the time. "I watched series like 'Sons of Anarchy.' I'm a fan. It's another form of 'The Sopranos' to me. I watched football and ESPN." But, the most popular show on the cellblock — "True Blood" — held no appeal for him.

"I couldn't really [watch it]. They got into that sh-- heavy," T.I. said. "The whole prison damn near shut down. Everybody left off the yard, like, ' "True Blood" coming on!' They went crazy for it — there's a bunch of sex in it, so they were tuning in for that."

T.I.'s King Uncaged drops in September

Eminem n Rihanna On The Set Of "Love The Way You Lie"


Here’s the first look from the set of Eminem and Rihanna’s new video “Love The Way You Lie”. The video was shot in L.A. and contrary to reports does not feature Megan Fox. For those keeping score, the song occupies the number two slot on Billboard while the album Recovery remains at number one for the fourth week.

Justin Bieber takes P Diddy for a spin in his new Lamborghini


Justin Bieber only passed his driving test three months ago, but the teen singing sensation has already gotten himself a car that most grown men can only dream about driving - a Lamborghini. And just to add to the envy quota it seems Bieber didn't even have to shell out a penny for the car, as it appears to be a gift from his close friend, rapper Sean 'P-Diddy' Combs.

Diddy had promised he would give Bieber his white Lamborghini as soon as he turned sixteen, although Bieber didn't seem to take the rapper's generous offer very seriously.

Cruising: Justin Bieber drove fellow singer Sean Kingston to get some frozen yogurt in Los Angeles yesterday

Dream gift: P-Diddy promised to give Bieber his white Lamborghini as a gift for his 16th birthday Back in March Bieber told People magazine: '[Diddy] said when I turn 16 he will give me his Lamborghini. 'But we all know Diddy's not going to give me his Lamborghini, he's all talk.' Seems Bieber spoke too soon as he was spotted driving around Los Angeles yesterday in a white Lamborghini.

Bieber took the car for a drive with another of his musician friends, singer Sean Kingston, stopping off for some frozen yogurt along the way. It's certainly beneficial to have mega-rich friends in high places - in addition to the Lamborghini Bieber also has a Range Rover. The 'Baby' hitmaker's mentor, Usher, gifted him with a brand new Range Rover when he turned sixteen on March 1st. Meanwhile, Diddy is in the habit of gifting teenagers with ludicrously expensive cars.

He gave his son, Justin Dior, a £220,000 German Maybach for his sixteenth birthday, including a uniformed chauffeur as the teen wasn't even able to drive.
Justin BieberJustin Bieber
Teen sensation: Bieber has friends in high places - he was also gifted with a brand new Range Rover by Usher for his birthday

Wednesday

MASHONDA NA SWIZ BEAT


So I’m sure you all heard about Alicia Keys and her baby daddy fiancé, Swizz Beatz in the headlines. Well in lieu of the announcement of their upcoming nuptials, VIBE magazine had the opportunity to sit down with Swizzy’s ex, Mashonda, to see what she had to say about the whole thing…….

VIBE: How much of a burden is it to be referred to as Swizz Beatz ex-wife, rather than Mashonda?

“I can’t wait until that goes down. I hate that when [Swizz and Alicia Keys are] doing something I always come up. I can’t wait for the day when we’re both in our own worlds. I’m a separate person and just want my own identity.

VIBE: How did you even find out that they were engaged and she was pregnant? Please don’t tell me the blogs.

I knew these things for a couple of months… I never talked to him about it though. It’s his life, but people talk. Nobody is nobody’s friend when it comes to stuff like this. There are people in their circles that talk and it gets back to me and I’m like ‘Wow, okay.’ I still feel like we should tell each other…No, I don’t care. I don’t give him the vibe that I care, so he wouldn’t feel obligated to tell me.

VIBE: Does it hurt listening to her now? Were you an Alicia Keys fan?

I believed her before.

VIBE: And now?

I don’t make it an effort to listen. I don’t make it an effort not to listen. I still like her songs. She’s head over heels in love and I get it. Every woman deserves to feel that, not at the expense of another woman though. But I understand why some of the decisions were made on her part, because her heart was so in it…People are always going to love her for her music, as they should. She makes great music, but no one is really ever going to understand what happened in this house. Bottom line, the rule is, if you’re messing with somebody, you don’t know they’re married, and you found out they’re married if you come into any contact with that wife, leave it alone… respect the woman, respect the wife…And that’s what I dealt with for a while, until I gave up.

Let’s give an A+ to Mashonda for staying positive. Good Job Ms!
As a Diva Wishing yuu all the best but of all that ,AM STILL Aalica big fan Lmfao

Tuesday

UNAKUMBUKA STORY HII YA BABA WA MUSIC




Ukiachilia mbali suala zima la kutupia ulimi pale kati, mixa ming’aro ya ziada kiasi cha kumpiga jeki yule asiyekuwa na mauzo ya kutosha…. Leo namdondosha kwenu ‘HANDSOME’ ambaye yeye binafsi anaamini anashine bila bling bling kwasababu ana Mwili na Sura nzuri na hii ni tangu enzi za analogi hadi digito (SWAGGA)

Anaitwa Dully sykes au Prince Dully sykes a.k.a Blazameni Dully a.k.a Mr Misifa ambaye ametuibukia pande hizi ili kuturimaindi kuhusu Historia ya huu mziki wetu wa Bongo Flava.
Huyu Blaza alianza Muziki miaka ya 1994 kipindi cha akina Saleh Jabir, naposema kipindi cha akina Salehe Jabir namaanisha ni enzi zile wasanii wetu wanachukua nyimbo za nje na kuzitafsiri kwa kiswahili.. ni kipindi ambacho kilifuata baada ya kile cha ‘MIE NI MSELA/ NINA KICHWA KAMA PERA/SIWEZI KWENDA JELA/ KWASABABU NA MAHELA…’3 Bila shaka hiki ni kipindi ambacho Ubunifu ulikua umeanza kupewa kipaumbele, naam, hii ni hatua ya 3 baada ya ile ya kuimba nyimbo za nje kama zilivyo, kipindi hicho tulikuwa na wakavaji (hawa ni wale ambao walikua wakiipenda ngoma tu lazima waikariri na waifanye kwenye show zao) so tukawa na vikundi vya Naughty by nature wabongo, Michael Jackson wa bongo, Mc Hammer wa bongo na Vannilla Ice wa Bongo.
Elvis,Michael Jackson,UB 40, ni baadhi ya wale waliomuinspaya(kumvutia kimuziki) huyu Prince wa Bongo Flava.. na alikua akiimba nyimbo zao na kuzicheza kama wao kwenye maafali ya darasa la saba au birthday parties za mitaa yake ya kariakoo, show yake ya kwanza ilipigika ndani ya shule ya Shaaban Robert mnamo mwaka 1996 na huko aliwaambia INFORMER ya SNOW,na Dj alikua P FUNK kutoka shule ya IST (International school of Tanganyika
Dully alipenda kuwa Mwanamuziki mwenye nyimbo zake mwenyewe na sio zile za kuiga,na katika kulikwepa hilo alijitengenezea utaratibu wa kuandika nyimbo kwa kufuata hisia zake yeye mwenyewe kama yeye,kwahiyo hakuwa na jinsi zaidi ya kuibuka maeneo ya studio za Don Bosco mnamo mwaka 1998.
Hata hivyo juhudi zake za kurekodi nyimbo Don Bosco ziligonga Mwamba baada ya kukuta foleni kubwa pale studio na zile nenda rudi za Maproducer wetu.. ‘waliniambia niwalipe Elfu Tano ili nirekodi..na hiyo ndo ilikua bei kamili ya studio, nikawapa na pia kama haitoshi nikanunua hadi Chrome.. tatizo studio ilikua bize halafu mie nilikua na mizuka ya kutosha so sikutaka kuwapa pointi, inshoti niliwapotezea lakini hadi leo ile loss ya ELfu Kumi inaniuma.. © Dully
Judgement day(ilirekodiwa Marimba records chini ya Mpishi Mr Chaz) ndo title ya Ngoma yake ya kwanza,kwa bahati mbaya haikufanya vizuri kabisa, hakuna aliyeikubali au kuielewa.. lakini siku zote mwanzo huwa mgumu au vipi? Well,hakuna asiyejua ya kwamba Hustla huwa hachoki kwasababu Nia ya mtu huwa imo ndani ya dhamira yake, so ni yeye wakuitengua au kuitilia mkazo
Dully aliamua kujifanyia research yeye mwenyewe ili akijue kile kilichosababisha Tonge lake lisifike Mdomoni na kabla Udhaifu wake haujamulemea,alibahatika kukutana na Dj Stevie B au ‘SKILLZ’(kitambo hicho alikua anaswagua pale Sugar ray) desemba ya mwaka 99 na ushauri pekee aliopewa ni ‘UNAIMBA VIZURI TATIZO WABONGO WENGI HAWAJUI KIINGEREZA, NADHANI UTAFIKA HUKO UNAKOTAKA KWENDA KAMA UTATUMIA KISWAHILI KWENYE TUNGO ZAKO MDOGO WANGU’
Unajua ukweli huwa unahitaji maneno machache tu, nadhani ndo maana ikaclick fasta kwenye ubongo wa mwanafleva huyu na kabla ya karne ya 21 kuingia tayari alikua ashakutana na Mika Mwamba na kile kibao cha ‘JULLIETTA’ kilitoka na kumtambulisha vyema kwenye Medani ya Mziki.
Bila shaka ukimuuliza Mwanamuziki yeyote ambaye anatamba hivi sasa au ashawahi kutamba kuhusiana na hizi chati zetu za kibongo atakuambia ‘kuhiti sio vigumu,vigumu ni kupakua hits baada ya hits’
Ujio wa Dully Sykes ulikuwa ni wa kipekee,bora na wa maana kabisa na cha kushangaza zaidi ni pale alipoongeza makakamavu na kuziacha sifa zimjenge badala ya kubweteka na ktk kulithibitisha hilo aliendelea kupakuwa mawe ya nguvu kama 1- stori ya ukweli 2- Nyambizi 3- Mr Misifa (alipewa na P Funk hilo jina) 4-Salome
Mwaka 2002 alizindua album yake ya kwanza pale Diamond Jubilee, na uzinduzi wake uliendeshwa kwa style ya NANI ZAIDI?kati yake na T.i.d (Top in Dar) na mpaka tunarudi mitamboni ukumbi mzima ulikua upande wa Dully na hali hio haikunishangaza hata mimi kwasababu kazi za Dully zilikua sio kama zile za KOBE WA JUU YA MTI,yaani hapa namaanisha sio mpaka apandishwe ndo awe juu,so tayari mshajua nani alionekana kidume siku hiyo au vipi? Naomba tukumbuke ya kwamba style hii ya kuwapambanisha Magwiji hawa ilitumika kama njia ya kuwavutia mashabiki, kuwapa hamasa ili wajitokeze kwa wingi ukumbini na wala sio kama hawa jamaa walikua na Bifu kama ambavyo wengi walifikiri hapo mwanzoni au labda minong’ono ya nani mkali Mitaani.
Dully aliendelea kulitetea Taji hilo la Mkali wa Bongoflava kwa kupakuwa Mawe mengine ambayo yote yalihit au bado yanasumbua kwenye chati kama 1-Handsome 2-ladies free 3-kijakazi 4-hi 5-leah 6-tanita 7-Jackie 8-Eva 9- Rafiki 10-Latoya 11-Nakupenda 12-Ningejua 13-Mariah Mariah 14- Bijoux 15- hunifahamu 16-Loudspeaker 17-asha Mapromise 18-Baby Candy 19-Watasimuliwa 20-Miss Tz UK 21-Dhahabu 22- dully’s Chick 23-Kupenda 24-Malaika 25- Tamika 26-Opalina 27-Monalisa 28-Sikutaki tena 29-Papa 30-Tata 31-Shikide (ambayo inahit hivi sasa)
Uandishi wa nyimbo zake haupo kwa ajili ya kukufanya ufikirie sana ili kuelewa kile alichokiimba na uimbaji wake ni kama anafanya Mzaha hivi au unaweza sema hayuko serious lakini ukimtegea sikio zaidi utagundua nia na madhumuni yake ni kukufanya uburudike kwa kupitia sanaa yake na sanaa ni kitu ambacho hakina mipaka kama alivyosema Shaaban Robert, ni ukweli Dully Sykes anasifika kwa kuimba Nyimbo zenye ujumbe mwepesi na nyingi zikiwa ni za mapenzi au kujisifia yeye ni nani lakini ni nyimbo hizo hizo ndo zimemfanya akubalike na pia ninathubutu kusema ni aina ya Nyimbo ambazo Jamii inazielewa na kuzipandisha chati mapema zaidi kuliko zile za ki-u-wanaharakati.
VITUKO.
(1) Sote tunajua Chura anayapenda Maji lakini sio ya moto vivyo hivyo Dully anapenda sifa lakini isiwe na dharau ndani yake, moja kati ya matukio anayoyakumbuka ni pamoja na lile deni la shilingi mia moja ya kitanzania aliyokopeshwa na Mdau mmoja wa kitaani kwake kwa ahadi ya kuirudisha pindi tu akitoka au kufanikiwa kimziki… ‘unajua hakuna kitu cha bure sikuhizi,right?nakukopesha hii shing mia ya nauli leo, lakini naomba if utafanikiwa kimziki unirudishie shing mia yangu… ©Mdau
(deni hilo lilipwa tena kwa kiasi hicho hicho cha fedha miaka mitatu baadaye na hiyo ilitokana na yeye Dully kuwa bize na show nyingi za mikoani)
(2) Anasifika kwa kulamba lipsi zake na pia anahisi wasanii wengi wa bongo fleva wakiongozwa na Yule star wa mmarekani wakuitwa LL COOL J wanamgeza yeye Dully Sykes kulambalamba lipsi zake.
(3) Yeye ni mtu wa kwanza kuleta masuala ya Camp, (alipokuja na Misifaz Camp baada ya kuchoshwa na zile stunt za ZERO BRAIN) anajivunia kwa hilo na kwa upande mwingine anasikitika kwasababu ni Camp hiyo hiyo ndo iliyozaa na kulea asilimia kubwa ya Madansa na pia ni Misifaz Camp hiyo hiyo iliyosababisha watoto wa dogo watoboe masikio yao na kuyavika hereni au kujipiga tattoo kabla ya kuwauliza au kupewa ruhusa na wazazi wao, na pia ni Camp hiyohiyo iliyosababisha asilimia kubwa ya Madansa waashie shule za msingi au hata kufukuzwa wakiwa darasa la tatu na kuendelea.
(4) Msanii wa kwanza kupata Skendo mbaya Gazetini.
(5) Ana historia ya kuongea non stop toka mwanzo hadi mwisho wa safari, haijalishi umbali na pia ni Msanii ambaye anaiva na kila Msanii.
(6) Msanii pekee mwenye nyimbo nyingi zenye majina ya kike Duniani (kitabu cha Guinnes hakijamstukia tu)
OUTRO.
Dully ni mfano wa kuigwa mbele ya macho ya mbunifu yeyote sababu huwa haogopi kukosea na ambisheni zake ni zakuongoza sio za ukifuata upepo… hafati ispokuwa anafatwa, na pia ana ujasiri wa kuzitetea hisia na hata kuwaprove wrong wale waliokuwa wanapinga style yake ya Muziki na kuwanyamazisha wale wote waliokuwa wanampaka yeye ni Mwanasesere, Muuza sura tu au Mbana pua..
Wanamuita Mzazi wa Bongo Fleva kwasababu ni yeye ndie aliyeanzisha aina hii ya uimbaji ambao huwa una ladha ya kimwambao na zile za Bangra kwa mbaali (na kama una sikio zuri utagundua kuna vionjo vya kicongo vimeongezwa ili kutia Chachandu siku hizi) na amewainspaya WANABONGOFLAVA wengi na karibia wote wanalikubali hilo pasina kutaka mjadala au kuonyeshana uhodari wa maneno.
Dully anafurahia sana kuona WANABONGOFLAVA wapya wanavyofanikiwa kimaisha na pia anazikubali chalenji zao kwa moyo mweupe kabisa lakini anasema YEYE NI MKONGWE,KAMWE HATOKUBALI KUFUNZWA UTAMADUNI NA WATOTO.
Muziki kwake ni zaidi ya kipaji, yeye binafsi anaamini KIPAJI alichonacho ni kama ZAWADI aliyoshushiwa na Allah ili ajipatie rizki, anamaliza kwakusema ‘alijifunza yeye mwenyewe kupiga gitaa, keyboard na drumz,wala hakufundishwa na mtu yeyote’

(AllHipHop News) A number of celebrities gathered in Los Angeles this weekend to raise awareness for children who suffer from diabetes. The three-day event is sponsored by the non-profit Developing Options, the City of Los Angeles, Wells Fargo Bank, Powerade, the LAPD and football legend/community activist, Jim Brown.

Brown tapped stars like Ving Rhames, Tommy “Tiny” Lister and Ludacris to help teach the community about the importance of personal health and the need to have annual doctor visits. The event kicked off on with a free youth sports clinic on Friday (July 16th) with Dwight Freeney of the Indianapolis Colts and DeSean Jackson of the Philadelphia Eagles.

The highlight of the weekend takes place tonight (July 18th) at the Nokia Club with an exclusive performance by Atlanta rapper Ludacris. The rapper will be presented with the Developing Options Humanitarian Award for his support of community youth.

Developing Options launched in 2004 with the aim of transforming impoverished urban communities by utilizing empowerment programs, education, job training, community develop

Monday

BIG BROTHER IMEANZA HIVI.


check nembo ya Big brother
Tatyana nae ni mmoja wa washiriki tena
Sean Paul nae alikuwepo
MWISHO NA JANET

Tuesday

UGANDA WAPATA MKASA WA KULIPUKIWA BOMU CLUB

jiulize kama ungekuwepo
check unyama huu
inatisha jaman check
jamani dunia kuna mambo check
walivyouliwa

Monday

PWEZA WA KIBONGO NOMA SANA

Inaonekana Pweza wa Feri si makini kama Pweza Paul wa Ujerumani aliyeweza kutabiri kwa usahihi mechi zote sita Ujerumani ilizocheza kwenye kombe la dunia pamoja na mshindi wa kombe hilo.

Pweza wa Feri alitabiri kuwa Mgombea Mwenza wa chama cha CCM angekuwa mwanamke. Lakini matokeo ni kwamba mgombea mwenza atakuwa Mohamed Gharib Bilal aliyekuwa akishindania nafasi ya urais Zanzibar.

Pweza wa Feri hafai hata kidogo, inabidi awe kitoweo sasa!

Posted by DINA MARIOS at 10:53 PM 0 comments JAMANI! TUWE TUNASOMA UJUMBE MARA TUUPATAPO!!!

Mchungaji akiwa katika pitapita zake za kuombea katika wodi za hospitali fulani, akakuta kuna Mgonjwa aliekuwa hawezi kuongea japo alikuwa na fahamu na aliwekewa oxgen. WAKATI AKIOMBEWA, yule mgonjwa akachukua kalamu na karatasi, Akaandika haraka haraka na akampa yule Mchungaji. Ambaye badala ya kuisoma ile karatasi, akaitia kwenye mfuko wa joho na kuendelea na maombi hadi yule mgonjwa, AKAKATA ROHO. Mchungaji hakuisoma ile karatasi akijua kua ni wosia wa marehemu. Akasubiri baada ya mazishi kwenye kikao cha ndugu akasema; "KUNA KITU NILIPEWA NA MAREHEMU SIKU NILIYOKUA NAMUOMBEA" Akampa mmoja wa wanandugu akisome. Haya ndiyo yaliyokuwa yameandikwa na yule mgonjwa: "UMEKANYAGA WAYA WA OXYGEN, NAKOSA HEWA"

Spain Wins Its First Ever World Cup Championship With 1-0 Victory Over The Netherlands (VIDEOS)




Spain beat the Netherlands 1-0 in extra time last night to win soccer’s World Cup for the first time in a match that set a record for yellow cards. Andres Iniesta scored in the 116th minute at Soccer City in Johannesburg after the match finished scoreless in regulation. The game featured 14 yellow cards, a record for a World Cup final. Nine of them went to the Dutch, who had John Heitinga sent off for his second caution.

Spain added the global title to the European Championship it won two years ago to become soccer’s first new world champion since France in 1998. The Spanish recovered from a loss in their opening game with Switzerland that had made it difficult for the team to make the knockout stages.

“It was very intense, balanced and even,” Spain coach Vicente del Bosque told journalists. “It was rough at times, but that’s part of football. After Switzerland I reminded my players what had brought us here. I got my players to commit to again, and they did that.”

The Spanish had 56 percent of possession, leading the Dutch to try to pressure players to pass more quickly and turn the ball over. The Netherlands committed 28 fouls, compared to 19 for the new champions. Dutch coach Bert van Marwijk said his team didn’t plan to foul its way through the match.

‘Horrible Fouls’

“It’s not our style,” he told reporters. “Let me put it this way, it’s not our style to commit horrible fouls. It’s not our kind of football. It was a World Cup final and people were tense. Look at the rest of the tournament. I think both sides, also the Spaniards, committed terrible fouls.”

By winning the first World Cup to be staged in Africa, Spain also becomes the only European nation to clinch soccer’s biggest prize away from its own continent.

Spain’s victory also took Europe 10-9 ahead of South America in overall World Cup wins and will keep the trophy on the same continent for the first time since 1962, when Brazil clinched back-to-back titles. Spain is the eighth country to win in the tournament’s 80-year history.

The Netherlands, which finished as runner-up in 1974 and 1978, had entered the final after winning all six games in route to the final and all eight qualifying matches.

“We did this to ourselves, I guess,” van Marwijk said. “It’s very bitter in defeat, and very sad, but the best team won.”

Mandela
The game began after an hour-long closing ceremony that culminated with an appearance from former South Africa president Nelson Mandela.

Chants of “Madiba, Madiba,” rang out as the 91-year-old Mandela, wearing a furry black hat, waved to the crowd of 84,490 as he was driven across the field on a buggy. He met with soccer officials including FIFA President Sepp Blatter before exiting through the players’ tunnel.

Fabio Cannavaro, who led Italy to the 2006 title, then carried the World Cup out onto the pitch before raising the trophy aloft in the center circle.

With the two teams waiting in the tunnel, a man wearing a T-shirt with an anti-racism slogan ran across the pitch and put what appeared to be a red hat on the World Cup. Several security men and stewards wrestled him to the ground and carried him off the pitch.

The first chance of the match came in the fifth minute and was the closest either team got to scoring in the opening 45 minutes. Netherlands goalkeeper Maarten Stekelenburg dived to his right to stop a header from Sergio Ramos, who met Xavi’s free kick near the penalty spot.

Cautions
Referee Howard Webb produced five yellow cards in the first half, more than the combined number of shots the teams had on target. Spain goalkeeper Iker Casillas was forced to tip the ball over in the 33rd minute when Wesley Sneijder’s pass, played back for the goalkeeper to restart play, kicked off the turf.

Webb brandished two more yellow cards in the first 12 minutes after the break, lifting the tally to seven, passing the previous record of six shown in the 1986 championship match.

The Netherlands had the first two scoring chances of the second half. Heitinga headed Sneijder’s free kick past the goalpost and Casillas saved from Arjen Robben with his legs when the Dutch forward was clear on goal.

Spain’s David Villa then had two shots that were blocked and Ramos headed over from 12 yards in the 77th minute. Robben went clear on goal six minutes later after holding off Carles Puyol and Casillas raced out to gather the ball, ensuring the teams were tied 0-0 after 90 minutes.

Cesc Fabregas had two chances for Spain in the first extra period before Heitinga was sent off for his second yellow card with 11 minutes remaining following a foul on Iniesta just outside the penalty area.

With the match heading for a penalty shootout, Iniesta won it for his team with four minutes remaining when he volleyed past Stekelenburg.

Kelly Rowland Talks Her Upcoming “Dance” Album




In her recently released interview with Paper Magazine, Kelly Rowland went into detail about her upcoming, self-titled “dance” record: A lot of artists are moving toward a futuristic, dance-heavy sound. Why were you influenced to go this direction? “I spent about a year of my life in Europe really listening to a whole bunch of Europeans DJs and hearing dance music a lot on the radio and really loving it. But I didn’t really think that I would do a dance record until l went out in the South of France and David Guetta was spinning at a club. Listening to him was just crazy.

I heard the track ‘When Love Takes Over’ and I asked if I could take it to London to write lyrics to it. And so we wrote ‘When Love Takes Over’ and it was my first introduction to dance music. Then I went toEurope to promote the record with David and it was a whole other monster. It’s really a culture and I love it”.

She continued “You will hear some R&B-ish music that is inspired by dance. But more so than anything, hitting the notes wasn’t hard. It was always there, but I never used it. Why not? I guess I just didn’t feel confident enough to use it. And when I did ‘When Love Takes Over’ and ‘Commander’ I was like, ‘Oh, this does work!’” ~Toya.

All Blog PostsMy BlogEdit Blog PostsAdd a Blog Post. Eminem Goes Platinum with ‘Recovery,’ The-Dream Debuts in Top 5




In a day and age when artists can barely go gold, Eminem’s latest album has already been certified platinum in two weeks. Recovery, the rapper’s seventh studio LP, tops the Billboard 200 albums chart for a second straight week selling 313,000 copies, according to Nielsen SoundScan. The album’s sales total 1.1 million copies in the U.S. since its release two weeks ago.

Drake claims the runner-up position as his debut album Thank Me Later comfortably sits at No. 2 in its third week with 105,000 units sold, down 33% from the previous week.

The-Dream’s Love King opens at No. 4 with 58,000. Despite being the final album in his Love trilogy, it sold less in its first week than its predecessors, 2009’s Love vs. Money (No. 2, 151,000) and 2007’s Lovehate (No. 30, 59,000).

On the Digital Songs chart, Eminem and Rihanna’s “Love the Way You Lie” holds strong at No. 1 for a second week with 280,000 downloads, while Kanye West’s new single “Power” debuts at No. 14 with 80,000.

JACK NA DIAMOND WANATOKA?


kitaa kinalonga kuwa manadada nyota upande wa filam Jacklin Wolper anadate na artist alietoka na tuzo tatu mwaka huu Diamond.lakini Wolper anadai ni mambo ya kazi

Saturday

FORTUNATHA IS BACK



Mrembo toka kahama long time hivi sasa ameamua kurejea nyumbani baada ya kumaliza stashahada yake.

ROGERS APATA SHAVU UFUNGUZI TAMASHA LA BUSARA

Mkali wa Gitaa Baridi, Mwanamuziki Rogers Lucas ataupamba ufunguzi wa Tamasha la 13 la nchi za Jahazi. Imethibitishwa.
Rogers Lucas, Mshindi wa pili wa Bongo Star Search mwaka 2008 atafungua pazia la burudani za Tamasha hilo lilipangwa kuanza leo katika uwanja wa Ngome Kongwe, mji Mkongwe Zanzibar.
Tamasha hilo ambalo linatazamiwa kuhudhuriwa na zaidi ya watu 2000 kutoka kila kona ya Dunia limepangwa kukoma tarehe 18 July Mwaka huu ambapo zaidi ya filamu 100 zitakuwa zimeonyeshwa na vikundi zaidi ya 20 zitakuwa vimetumbuiza.
Rogers ambaye amepangwa kufungua tamasha hilo atafuatiwa na wanamuziki wengine kutoka Bagamoyo Kjetil Haugbro na kikundi cha kusheki cha D 6 cha Zanzibar pamoja na Mshiri Mahiri Zanzibar Amina.
Rogers anazungumzia mualiko huwa kuwa ni heshma ya kipekee huku akieleza nia yake ya kufanya makamuzi ya kufa mtu.
Msanii huyo anayeendelea kutamba na kibao chake ‘Rudi’ amepanga kuvurumisha vibao vyake kadhaa kutoka katika Albam yake mpya yenye jina la Rudi inayotamba na vibao nane ambavyo ni Jasho la Upendo, Ni wewe, Mama, Niambie Leo, Si Utani, Hayupo na Rudi wimbo uliobeba jina la Albam hiyo.
Albam hiyo ni moja ya Albam bora zilizowahi kutolewa na wanamuziki huyo katika muziki wa BongoFleva hapa nchini. Albam ya Rogers iko tayari madukani na inapatikana katika CD vile vile.
Rogers kijana mtulivu anayelimudu vyema gitaa lake amekuwa akipata mialiko kadhaa katika nchi za Magharibi kama Ujerumani Uswisi na Australia .
Mbali na umahiri wake katika muziki wa aina yake Rogers pia amewahi kushirikiana na mwanamuziki mwenzake mkubwa ajulikanaye kama Ricardo Flecha kutoka Paraguay Amerika ya kusini mwanamuziki ambaye anaheshimika sana katika ukanda huo kwa uwezo wake katika kupiga muziki.
Kwa kopi ya albam yake wasiliana naye kupitia No.
0716954854
Au Email:
Rogerstht@yahoo.com
www.rogerslucas.com

Wednesday

mtoto noma kwa pozi huyu
kwa raha zao wenyewe

Hawa jamaa wanajipa raha wenyewe
ni rihanna na matt Kemp