Friday

MILIPUKO YA MABOM GONGO LA MBOTO


jana ilitokea milipuko ya mabomu katika ghala la jeshi maeneo ya gongo la mboto, na pichani ndio taswira ilivyokuwa usiku wa kuamkia leo.mpaka sasa inasemekana watu 15 wameshfariki dunia na majeruhi ni wengi sana. na mpaka sasa kuna watu zaidi ya 1500, katika uwanja wa uhuru wakiwa hawana makazi.unaombwa kutoa msaada wa hali na mali kuwasaidia waathirika wa mabomu hayo

Trey Songz – ‘Love Faces’ EXCLUSIVE

Trey Songz wishes fans a happy Valentine’s Day by releasing “Love Faces,” the latest single off his album Passion, Pain & Pleasure. In the Justin Francis-directed clip, Trigga Trey swings by his girl’s gallery opening where he keeps his distance, later making it up to her by getting steamy in a black-and-white bedroom montage. Watch the two heat up the screen.

Monday

Rihanna And Drake Flirt, Fire Up Grammy Stage

Luckily for Rihanna, she didn't take the Grammy stage until after 11 p.m. on Sunday (February 13) because the Loud star's gyrating hips and seductive dancing might have been too steamy for primetime.

Rihanna was joined by Drake and the two delivered a flirtatious rendition of their "What's My Name?" The Toronto lyricist — dressed in a black leather jacket, boots, sweater and cargo pants — dropped his sexually charged opening rhyme then positioned himself behind Rih Rih for a quick two-step as pyrotechnics fired off in the background.

"Not everybody knows how to work my body," Rihanna sang. "Knows how to make me want it/ Boy you stay up on it/ You got that something / That keeps me so off balance/ Baby you're a challenge, lets explore your talent."

Rihanna traded in the extravagant gown she wore for her performance with Eminem for "Love the Way You Lie" in favor of short red number that was as fiery as her hair. The backdrop could have passed for an erotic scene in Pacino's "The Devil's Advocate." It was by far the sexiest performance of the night.

During a short Calypso-style breakdown, Rihanna shook and shimmied with a sneaky grin. "Ooh na na, what's my name?" she sang on the chorus. "What's my name, what's my name?"

"Baby you got me, ain't nowhere that I'd be," Rih continued on with her verse. "Then with your arms around me, back and forth you rock me/ So I surrender, to every word you whisper/ Every door you enter, I will let you in."

Justin Bieber Performs with Usher and Jaden Smith at Grammys

Best New Artist nominee Justin Bieber made his Grammy debut with some help from his mentor Usher and fellow teen sensation Jaden Smith. The 16-year-old heartthrob strapped on a guitar for “Baby” before kicking things into high gear with the theme from his box office smash Never Say Never. Ninjas came down the aisles and Jaden Smith emerged from a trapdoor to bust a rap. Ursh came back in blue to deliver his smash “OMG,” trading fancy footwork

Lady Gaga poses with Beyoncé and Usher backstage at the 53rd Annual Grammy Awards at the Staples Center in Los Angeles. Gaga picked up the awards for Best Pop Vocal Album, Best Short Form Music Video, and Best Female Pop Vocal Performance, while Usher took home Best Contemporary R&B Album and Best Male R&B Vocal Performance.

Lady Gaga might find the sledding a little rougher this time around as she preps the release of her new album.Her new single "Born This Way" has been panned by critics as being a Madonna rip-off. But Gaga has one fan of the song she has called her "gay anthem" in her corner, and it's from an unlikely source.Queensbridge, New York rapper Nas tweeted yesterday (February 11) that the song is the "craziest track I've heard in a while." He then added a link to Gaga's website for his 148,000 followers so they could purchase or listen to the song.
 


Do you agree with Nasty Nas that "Born This Way" is a banger?

53rd Annual Grammy Awards: Backstage

Lady Gaga poses with Beyoncé and Usher backstage at the 53rd Annual Grammy Awards at the Staples Center in Los Angeles. Gaga picked up the awards for Best Pop Vocal Album, Best Short Form Music Video, and Best Female Pop Vocal Performance, while Usher took home Best Contemporary R&B Album and Best Male R&B Vocal Performance.

Baby Birdman kamjibu Jay Z, Kanunua gari la billioni 1.5


Leo Kupitia Yo hard..!! na Sudi Brown tumesikia kuusu ishu ya Jay Z na Baby wa Cash Money.., sasa Teentz.com imepata more story…… Ukiachana na ishu ya Baby kumwambia Jay Z kuwa ataendelea kutumia pesa.. na anamtaka akae tayari kwa matukio yake ya kuspend yanayokuja…, Pia Baby kamshauli Jay Z kuwa next time akiwa anamdis mtu amtaje na jina kabisa…na sio mafumbo.., Ukiacha ayooo yote… Baby katumia billion 1.5 kununua gari jipya linaloitwa Maybach Landaulet …. Pia baby anamwomba Jay Z aache kumuonea Lil wayne wivu kisa anauwezo wa kuandika mistari mikali kuliko yeye... Na pia anataka Jay Z ajua kuwa Lil wayne is the best rapper alive...




Movie iliyomsababisha 50cent kupunguza uzito wa kilo 27...

Unayemuona hapo ni 50cent wakati anaigiza movie inayoitwa "Things fall apart"...  ni movie itayokuwa inamuelezea 50cent kama kijana anayesoma collage na anacheza american football wakati anaugonjwa wa Cancer..  Tarehe ya movie kutoka au kuingia sokoni bado aijatangazwa...


Thursday

Lil wayne Live kwenye stage akiperform Green & Yellow..!!

Lil wayne alifanya ngoma ya Green and Yellow kwa ajili ya team ya amrerican football inayoitwa Green Bay packers anayoishabikia ambayo mavazi yao ni langi ya green & yellow….., Juzi team hiyo imeshinda Super Bowl… nikitendo kilichomfulaisha sana lil wayne na kuamua kufanya party ya Green & Yellow na kuperfom na maswagaaa kibaooooooooooo.. mcheki mwenye kwenye stage akiwa na kundi zima la cash money live ndani ya Teentz.com na akiwa ametupia green and yellow wakati wa mechi uwanjani….!!


 

Diddy na Cassie Livee.....!!! Kama walivyo zaliwa..!

Kwa mda mrefu kumekuwa na tetesi kuwa mtu mzima P.diddy anatoka na mwanadada Cassie.. Sasa sio tetesi tena kwasababu kitu kimekuwa provided kabisa kupitia picha ambazo zimeleak kwenye mtandao …., Kwenye picha hizo P.diddy anaonekana akiwa amempakata mwanadada Cassie huku wanakiss na wote wakiwa kama walivyozaliwa...unazani walikuwa wanafanya nini jama siyo MIKASI

Cover la Album ya Jennifer Hudson - "I remember me"

Cover la Album ya Jennifer Hudson - "I remember me" ni nzuri hata kwa mwenekano wake je ikitoka itakuwaje?

Jennifer Lopez amesema kua inawezekana Lil wanyne dio The best Rapper Alive

Mwanadadiva ambae ameshafanya kazi na wakali kibao kwenye game duniani akiwemo Ja Rule, 50cent,LL Cool J na wengine kibao hapa namzungumzia Jennifer Lopez jana ameweka wazi mapenzi yake kwa mkali kutoka Young money Weezy F baby au unaweza kumuita Lil wayne…. Jennifer Lopez alisema anamzimia sana Lil wayne na anahisi kua yeye ndo the best rapper alive kama anavyojiita yani kiufupi anawakubali Young Money wote akiwemo mwanadada Nicky Minaj na kuelezea kua japokua bado hajaisikia Album yote ya Nicky Minaj ila amemkubali tu kwa Hits ambazo amezitoa…..

Lil Wayne Pays Off $ 1.13 Million Dollar Tax Debt

Lil Wayne got Uncle Sam off his back by unloading a substantial amount of money recently, Weezy paid off a $1.13 million IRS tax lien owed to the government according to the Detroit News. Now he can turn his attention to his 'Tha Carter IV' album and upcoming tour.

See Court Documents Here

The Young Money/Cash Money camp have another reason to celebrate after the Green Bay Packers' Super Bowl win last night. Wayne is a big fan of the green and yellow, and Birdman reportedly laid down a $1 million dollar bet on the team

Friday

Chris Brown – ‘Up to You’ [Snippet]



Chris Brown
Chris Brown takes it nice and slow on “Up to You,” a new ballad off his upcoming album F.A.M.E. The R&B hunk previewed the song for his fans in a viral video, where he mimes the lyrics while posted up inside a hotel.
A lovestruck Breezy lets his girl call the shots on the slow jam. “I’ma be the one to take a back seat girl/ We can take our time and you can run this/ Stay in, go out/ Anything you want girl, we can do,” he sings.
“my album will contain all types of styles and genres of music…. hopefully my music will inspire and spread peace and positivity,” he told Team Breezy.

Thursday

Dr.dre na Emeniem wachaguliwa kuperform ndani ya tuzo ya grammy 2011

Inavyelekea kama Tuzo za Grammy mwaka huu zitakua ni funika bovu kwa list ya wasanii na watangazaji waliotupiwa pale kati….wasanii watakao perform ni kama Dre,Emeniem,Justin Beiber,Lady gaga na wengine kibaoooo….na kwenye watangazaji ametupiwa LL Cool J, Selena Gomez na mwanadada Nicky Minaj sasa pata picha Show itavyokua…..Teentz itaendelea kukupa List ya wasanii ambao wataongezwa kwenye Perfomance za Tuzo za Grammy 2011 ambazo zitafanyika mwezi huu tarehe 13…….

50cent Hatomnunulia mtoto wake gari aina ya Ferrari

Ukiachia mbali kua msanii na mfanyabiashara mkubwa na mwenye mkwanja mrefu kinoma Curtis Jackson a.k.a 50cent amekataa ombi la mtoto wake wa kiume la kumnunulia gari aina ya Ferrari siku ya Birthday yake ambayo dogo huyo anatimiza miaka 16 na hatimae 50cent kudai kua inambidi mtoto wake atafute mwenyewe kwa nguvu zake kama yeye alivyotafuta……50cent pia amedondosha ngoma mpya leo ambayo inaitwa “old 2003 Ferrari” ngoma ambayo ndani yake anawaponda Wiz Khalifa na kanye west kwa ku share dem yani Amber Rose……