Thursday

The good dr, dr dre, ahaidi kudrop album yake ya detox kama zawadi ya christmas kwa mafanz


Album ya detox ya dr mwenye degree ya kitaa ya kugonga midundo heavy, mzeiyah dr dre, imekuwa kama stori za popo bawa…..hujui uamini lipi kuhusu stori za ujio wake lakini for now gwafara hot of the gwafa-press ni kwamba akiwa katika uzinduzi wa toleo lingine la headphones chini ya nembo ya beats by dre jijini new york, duka la best buy………..the good daktari dre, amelonger kwamba yupo katika nafasi nzuri ya kuahidi kwamba album hii ambayo imemchukua miaka kumi kuikamilisha itadrop chrismasi hii ya 2010
Mwenye kiti wa interscope, label ambayo dre anafanya kazi chini yake, mzeiyah jimmy lovine amesema wao wanampa dre support asilimia elfu mmoja ili kuhakikisha kwamba album inadrop on Christmas day mwaka huu!!!

Dre analonger longer kwamba amekuwa anerekodi kila siku na kikubw aanacho hofia ni kutoa mzigo ambao mafanz hawataupenda ndio maana kila siku anarekebisha hiki au kile……

Rihanna atoa orodha ya mipini itakayopatikana ndani ya album yake mpya iitwayo loud


Cutey kutoka Barbados ambae kila akitoka na hairstyle lazima aigwe na them ladies dunia nzima, miss ela ela eh eh….aka rhihana ametoa rasmi orodha ya mipini ipatikanayo ndani ya album yake mpya kwa jina loud Ndani ya album hii nicki minaj… miss baby gat back…..ataskika kwenye dude kwa jina raining men na kuna dude ambalo linasemekana linamlenga c breezy mr deuces dude kwa jina fading away……..

Orodha full ya pini hizi ni kama ifuatavyo

“S&M”
“Only Girl (In the World)”
“What’s My Name”
“Cheers”
“California King (Bed)”
“Raining Men” featuring Nicki Minaj
“Who’s That Chick”
“Fading Away”
“Man Down”

A.Y Atoboa Siri ya Kupiga Collabo na Wasanii wa Kimataifa


Baada ya kupiga Collabo na Miss Trinity katika studio za B-Hits, weekend hii Ambwene Yesaya a.k.a A.Y amefichua siri ya kupiga Collabo na Wasanii mbalimbali wa kimataifa wanaoshuka bongo kila kukicha. A.Y ameyasema hayo baada ya kuulizwa na swali na dawson kwamba ni mbinu gani anayoitumia katika kumshawishi mtu kama Sean Kingston, P-Square, Miss Trinity, K-Naan na wengineo.

Ambwene akajibu kuwa siri yake ya mafanikio hayo ni kujitangaza sana kupitia vyombo mbalimbali vya habari kadri inavyowezekana, so anapokuja msanii kutoka nje Tayari wanakua wameshafanya utafiti wa kujua ni msanii gani mkali au anayejulikana nchini Tanzania.

Ambwene pia amezungumzia Collabo yake na Sean Kingston ambayo walishindwa kuifanya hapa bongo na meneja wa Kingston akamshauri Ambwene kuwa ili aweze kujitangaza zaidi ni bora aende kurekodi nchini marekani kwani atapata fursa ya kukutana na wataarishaji wa muziki wa kimataifa lakini pia kazi atakayofanya na Kingston itakua yenye ubora.

A.Y yuko mbioni kwenda katika mji wa Miami nchini marekani kurekodi ngoma na mtu mzima Sean Kingston.

Lakini pia kesho A.Y anaelekea jijini Kampala kupiga Video ya ngoma aliyorekodi na Miss Trinity.

Wednesday


mwaaaaaaa
Trey song
Rihanna

Mos Def Signs With Kanye West's G.O.O.D. Music


Kanye West has expanded his roster again, and like the most recent addition to his G.O.O.D. Music label, Pusha T, the new signing is another familiar face: seasoned hip-hop favorite Mos Def.The Brooklyn MC and West talk about the deal and break down their musical relationship in the October issue of XXL, which comes out on Tuesday and features a Kanye cover story. And Mos Def makes an appearance on West's G.O.O.D. Friday single "Lord, Lord, Lord," along with Swizz Beatz, Raekwon and singer Charlie Wilson. Mos' decision to join G.O.O.D. Music follows the release of his last album, The Ecstatic, on indie label Downtown Records in 2009.The rapper/actor and Kanye first collaborated on the Chicago MC's College Dropout, for "Two Words," and then again on "Drunk and Hot Girls" from Graduation. On "Lord, Lord, Lord," Mos Def opens the slow-moving track.

"Cool ruler standing still, sweatin' through the shade," Mos says. "He knew those lights only grew bright to fade/ Dead-wrong pageantry, lottery and games/ Sleight of hand provided by extravagant and fake."

With the signing of Mos Def, West continues his movement, pulling in MCs — often with a devoted following outside the mainstream — who come ready to break down creative barriers. Back in July, Pusha wouldn't confirm or deny that he'd signed with G.O.O.D: "I mean, you know. I been to Hawaii. Hawaii is a nice place. Good music is made down there, ya know. So, yeah, I was there. I can't say too much about that."

Of course, that's no longer a mystery. Pusha confirmed to MTV News at this year's VMAs that he was onboard with Kanye. The only question remaining is who else will be popping up on the bubbling label.

Papoose "Law Library 7" Available on I-Tunes Now!


mkali papoos soon ataachia album yake kwenywe iturn

Baby Complains Lil Wayne Spending Birthday In Prison


Cash Money CEO Bryan "Baby" Williams is used to celebrating Lil Wayne's birthday alongside the multiplatinum MC. But this year, with Wayne in prison, Birdman can only count down the days until the rapper returns.During the lead-up to Wayne turning himself in to serve his sentence, there were several delays (from dental procedures to a fire), and Baby lamented the fact that he and Weezy can't celebrate together now as a result."That f---ed with us," he told MTV News about the delays in Lil Wayne turning himself in. "Mentally, we were ready to do it. And when they had the fire, it really f---ed up, 'cause we were like, 'Get it crackin'.' Really, if he would have went in like he was supposed to, he would be home already. We didn't want to keep pushing that sh-- back, but things were happening. We just had to live with it. But any time your loved ones are leaving you in any kind of way, it affects you, 'cause we human, you love what you love.But he's home in a minute. We ready. We went through the storm and weathered the storm, so we here."
While Wayne wasn't able to celebrate his birthday with a party, he stayed active, phoning into MTV's "The Seven" while his protégé Drake was on air. The two spoke briefly, and the Toronto star wished Wayne a happy birthday.

Weezy is expected to be released from prison in November after serving nearly a year for attempted gun possession, stemming from a 2007 incident in New York City.

Saturday

Hip-Hop Rumors: Jay-Z Disses Hammer? Hammer Replies!


MC HAMMER VS JAY-Z!?!?!

"And Hammer went broke so you know I'm more focused / I lost $30 Mill so I spent another $30 'cause unlike Hammer $30 Mill can't hurt me" - Jay-Z

So, can somebody explain to me what happened here? That's a pretty clear shot at Hammer if you ask me. Here is what Hammer said on Twitter and it sounds like fighting words.

Guru of Gangstarr Dies, Writes Letter To Supporters


Legendary Gangstarr artist Guru has succumbed to cancer after a lengthy bout with the disease.

The artist, born Keith Elam, died on Monday April 19. He was 43 years old.

Solar, Guru's partner, expressed sadness over the loss.

"The world has lost one of the best MCs and Hip-Hop icons of all-time -- my loyal best friend, partner, and brother, Guru," Solar said in a statement. "Guru has been battling cancer for well over a year and has lost his battle! This is a matter that Guru wanted private until he could beat it, but tragically, this did not happen. The cancer took him. Now the world has lost a great man and a true genius.

Guru, a Boston native, rose to fame in the 80's as one half of Gangstarr, the iconic rap group with DJ Premier.

The group released six highly regarded albums in their tenure until 2003 when they broke up. After his successful run with Premier, Guru founded 7 Grand Records with producer Solar.

Solar went on to tend to the rapper as he fell ill, seemingly controlling the flow of information and access to Guru. Many of his family members complained that they were denied their right to see him.

Solar also said that Guru wrote a letter to fans and sent it out through a press agency.

"For the fans that reached out with love and support, I can't tell you how much that meant to Guru and myself. Guru prepared this letter (read below) while he was in the hospital for the fans," the producer continued. "I hope now that Guru has moved on to a better place."

In the letter, seen below, the rapper explains his illness, expresses gratitude to supporters and offers some parting words for DJ Premiere.

I, Guru, am writing this letter to my fans, friends and loved ones around the world. I have had a long battle with cancer and have succumbed to the disease. I have suffered with this illness for over a year. I have exhausted all medical options.

I have a non-profit organization called Each One Counts dedicated to carrying on my charitable work on behalf of abused and disadvantaged children from around the world and also to educate and research a cure for this terrible disease that took my life. I write this with tears in my eyes, not of sorrow but of joy for what a wonderful life I have enjoyed and how many great people I have had the pleasure of meeting.

My loyal best friend, partner and brother, Solar, has been at my side through it all and has been made my health proxy by myself on all matters relating to myself. He has been with me by my side on my many hospital stays, operations, doctors visits and stayed with me at my home and cared for me when I could not care for myself. Solar and his family is my family and I love them dearly and I expect my family, friends, and fans to respect that, regardless to anybody's feelings on the matter. It is my wish that counts. This being said I am survived by the love of my life, my sun KC, who I trust will be looked after by Solar and his family as their own. Any awards or tributes should be accepted, organized approved by Solar on behalf myself and my son until he is of age to except on his own.

I do not wish my ex-DJ to have anything to do with my name likeness, events tributes etc. connected in anyway to my situation including any use of my name or circumstance for any reason and I have instructed my lawyers to enforce this. I had nothing to do with him in life for over 7 years and want nothing to do with him in death. Solar has my life story and is well informed on my family situation, as well as the real reason for separating from my ex-DJ. As the sole founder of GangStarr, I am very proud of what GangStarr has meant to the music world and fans. I equally am proud of my Jazzmatazz series and as the father of Hip-Hop/Jazz. I am most proud of my leadership and pioneering efforts on Jazzmatazz 4 for reinvigorating the Hip-Hop/Jazz genre in a time when music quality has reached an all time low. Solar and I have toured in places that I have never been before with GangStarr or Jazzmatatazz and we gained a reputation for being the best on the planet at Hip-Hop/Jazz, as well as the biggest and most influential Hip-Hop/Jazz record with Jazzmatazz 4 of the decade to now. The work I have done with Solar represents a legacy far beyond its time. And we as a team were not afraid to push the envelope. To me this is what true artists do! As men of honor we stood tall in the face of small mindedness, greed, and ignorance. As we fought for music and integrity at the cost of not earning millions and for this I will always be happy and proud, and would like to thank the million fans who have seen us perform over the years from all over the world. The work I have done with Solar represents a legacy far beyond its time and is my most creative and experimental to date. I hope that our music will receive the attention it deserves as it is some of the best work I have done and represents some of the best years of my life.

Mama wa Mjomba: Dini ya Shetani imempa nafasi kutawala muziki duniani”



Hofu kila kona ni tishio la utawala wa dini ya Shetani. Kwa upande wa muziki, mwana Hip Hop mwenye pesa nyingi zaidi, Shawn Cutter ‘Jay- Z’ au Jigga anatajwa kutawala game kupitia imani hiyo.

Anatajwa zaidi kuamini katika Illuminati au Secret Society (Jamii ya Siri), ingawa lipo tabaka linaloamini kuwa Jigga ni muumini wa Freemasonry. Katika interview tuliyoinasa kupitia YouTube Jigga akizungumzia kuhusishwa kwake na Dini ya Shetani (Illuminati, Freemasonry), anasema kuwa yeye haamini dini, haukubali Ukristo wala Uislamu.

“Watu wanatakiwa kunijua vizuri, waijue imani yangu. Namuamini Mungu, namuamini Mungu mmoja. Siamini dini, Ukristo wala Uislamu.” Mahojiano yapo kama ifuatavyo;

SWALI: Watu wanazungumza wewe ni mfuasi mwaminifu wa Illuminati, Freemason, Dini ya Shetani kitu kama hicho.

JIGGA: No, nashindwa kujua haya yametoka wapi, sijui yameanzaje, kwa kweli siwezi kusema.

SWALI: Watu wanasema kwenye video za nyimbo zako unatumia alama ya Illuminati, labda swali langu ni je, una uhusiano na watu wenye unabii na imani hiyo?

JIGGA: No, siyo mimi. Sijawahi kufanya hivyo. Nimekuwa nikitumia alama hizo kwenye nyimbo zangu kwa sababu naamini zinauza. Labda niseme na watu wajue imani yangu, namuamini Mungu mmoja, siamini dini, siamini jehanamu. Unajua hizi alama huwa nakisia, watu wananiunga mkono. Nafanya shoo na watu tunaonesha alama za kufanana.

SWALI: Umezijuaje wakati ni Jamii ya Siri? Illuminati (secret society).

JIGGA: Yeah, ila kwa sasa ni kundi kubwa. Halafu hizo alama, unajua mimi ni mburudishaji, nazitumia kuburudisha.

SWALI: Ukionesha hizo alama za dini ya shetani mashabiki wanapenda?

JIGGA: Bila shaka.

SWALI: Unafikiri imani hiyo ipo?

JIGGA: Sijui hasa ila watu wanaosafiri duniani wanaweza kufafanua. Sijui kuhusu Dini ya Shetani kwa sababu mimi siyo Tommy Hanks (staa wa filamu ya Illuminati) lakini kuna mtu wangu Young Jeezy ana kitu kuhusu dini hiyo. Nina uhakika Obama (Barack) ana watu hao.

JIGGA NA BEYONCE DINI MOJA
Galacha huyo wa Hip Hop anayeaminika ndiye tajiri zaidi akiwa anamiliki utajiri unaokadiriwa kufikia dola milioni 150 (shilingi bilioni 240), alifunga ndoa na staa wa R&B, aliye memba wa zamani wa kundi marehemu la Destiny’s Child, Beyonce Knowles.

Jigga na Beyonce wamekuwa wakionesha alama za dini ya shetani, hivyo kufanya wote wawili kuwekwa kundi mmoja kwamba like husband like wife wote ni Dini ya Shetani. Wakati mwingine, Beyonce amekuwa akionesha alama za Dini ya Shetani hata katika mazingira ya kawaida, hivyo kuzidi kuuthibitishia umma.

JIGGA NI NGUMU KUWAFANYA WATU WAMUAMINI
Ni ngumu kwa Jigga kuwafanya watu wamuamini yeye siyo Illuminati. Sababu ni hizi;

MOSI: Amesema yeye siyo Mkristo na haamini dini hiyo lakini mbona anavaa msalaba?

PILI: Anasema yeye siyo Freemasonry lakini mbona kwenye wimbo “Run this Town” amejitaja ni muumini wa imani hiyo, pia kwenye video yake amejaza alama za Dini ya Shetani?

TATU: Mbona anapenda kupiga pamba zenye nembo za Illuminati au Freemasonry na mikono yake kuonesha alama hizo?

CHANZO CHA BIFU LAKE NI TUPAC NI ILLUMINATI
Jigga alianza kumshambulia Mfalme wa Hip Hop, marehemu Tupac Shakur ghafla. Hakukuwa na chanzo kinachoeleweka. Katika kukoleza bifu, Jigga akaamua kufanya kazi kwa ukaribu na hasimu wa Tupac wakati huo, marehemu Christopher Wallace ‘Notorious BIG’.

Documentary inayoelezea kifo cha Tupac na dhana ya Illuminati (Tupac’s Death & Illuminati Conspiracy Theory), inafunuliwa kuwa Jigga alianza kumpiga vita gwiji huyo wa mauzo ya Hip Hop baada ya kuponda Dini ya Shetani.

Tupac aliiponda Illuminati. Akasimama mstari wa mbele kuipinga. Hiyo ikawa sababu ya Jigga kumrudi mfalme huyo wa Hip Hop. Documentary hiyo ambayo inahusisha mahojiano na wanamuziki na watu wengine wenye ushawishi nchini Marekani, inasema kuwa kifo cha Tupac kilisababishwa na Illuminati, dini ambayo inatajwa kuwa na nguvu nyingi za giza. Kwamba ili kumuua Pac a.k.a Makaveli The Don, Illuminati walipanda mbegu ya mauaji kwa watu waliotekeleza shambulio la risasi alizopigwa Septemba 7, 1996 kabla ya kufa siku sita baadaye (Septemba 13, 1996).

Inatajwa kwamba ndiyo maana mpaka leo wauaji hawajulikani. Mchongo mzima ulisimamiwa na Jamii ya Siri (Secret Society). Chanzo cha Pac ‘kuidisi’ Illuminati kabla ya Jigga kumgeuka ni kuwa akiwa jela, alipata taarifa kuwa dini hiyo ndiyo ilikuwa inashika mamlaka yote, ilikuwa inaenda kwa kasi na itatawala dunia nzima.

Hilo lilimuudhi Tupac kwa sababu hakutaka kutawaliwa na dini hiyo, kwahiyo akaanza kupambana nayo. Tupac, alikasirika zaidi alipoambiwa kuwa hata kufungwa kwake jela mwaka 1995 ilitokana na nguvu za Illuminati kwa sababu hakutenda kosa ila aliingizwa hatiani.

Skendo ya kubaka iliyompeleka jela ikaelezwa ni kutaka kuchafua sifa yake ya kutetea haki za watu weusi Marekani, kuwapigania wanawake na watoto dhidi ya vitendo vya unyanyasi. Moja ya disi, Tupac anaimba: “Mimi ni muuaji wa Bad Boy, Jay Z atakufa pia.” Kuhusu ujumbe wa Illuminati kummaliza, alijibu: “Sijui hayo maneno kapata wapi, kaambiwa na Papa?”

ANASAIDIA JAMII ‘SANA TU’
Nje ya muziki, Jigga hujihusisha katika shuhuli za uhisani. Agosti 9, 2006 alikutana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wakati huo, Kofi Annan ofisini kwake, New York na kumuahidi kufanya ziara ya kutoa elimu ya kuhusu upungufu wa maji duniani.

Alilitekeleza hilo, pia akashirikikiana na Umoja wa Mataifa pamoja na MTV kutengeneza documentary ya kampeni ya maji aliyoipa jina, Diary of Jay-Z: Water for Life, na ilirushwa hewani kwa mara ya kwanza Novemba 2006. Akishirikiana na Sean Combs ‘P Diddy’, Jay-Z alitoa dola milioni 1 (zaidi ya shilingi bilioni 1.4) kulichangia Shirika la Msalaba Mwekundu ili kusaidia waathirika wa Katrina.

ANASHIKA NAMBA TATU KWA MAUZO HIP HIP
Unapowaondoa Tupac na ‘mzungu kichaa’, Eminem, Jay Z ndiye anabaki juu yaw engine wote katika mauzo ya muziki wa Hip Hop. Anakadiriwa kuuza nakala kati ya milioni 40 na 50 duniani kote.

ALBAMU ALIZOTOA
Reasonable Doubt (1996), In My Lifetime, Vol. 1 (1997), Vol. 2… Hard Knock Life (1998), Vol. 3… Life and Times of S. Carter (1999), The Dynasty: Roc La Familia (2000), The Blueprint (2001), The Blueprint2: The Gift & The Curse (2002), The Black Album (2003), Kingdom Come (2006), American Gangster (2007) na The Blueprint 3 (2009).

MADEMU ALIOPANDA NAO KITANDANI
Mtu mzima Jigga kwenye sekta ya mapenzi ni mzuri pia, kwani ameweza kutimiza idadi ya wanawake 11 wanaojulikana aliopanda nao itandani.

Anayetajwa wa kwanza ni Blu Cantrell, Foxy Brown anafuatia, Karrine Steffans anaunga listi, pia Jigga alikosa heshima kwa kutoka na shemeji yake, Lil` Kim ambaye alikuwa tulizo la Notorious BIG enzi za uhai wake. Wengine ni demu gangster, Missy Elliott, rapa mgumu, Trina, Carmen Bryan, Amil All Money, Charlie Baltimore, Shenelle Scott na mke wake, Beyonce Knowles.

HOFU YA KUTAWALA DUNIA
Watu wanazungumza kwamba siku zijazo anaweza kutawala dunia kwa upande wa muziki. Baadhi ya video zinatoka sasa na kumchambua kuwa amepewa mamlaka makubwa na Freemasonry. Mahudhurio ya shoo yake ya hivi karibuni alipochangia jukwaa na Eminem kwenye Uwanja wa Yankees, New York, Marekani yalitia mshtuko baada ya kuingiza watu 52,000. Imetajwa kuwa hao walivutwa na Freemasonry, pia ni zawadi kwake.

HUYU NDIYE ZAY -Z
Jina lake kamilini ni Shawn Corey Carter, alizaliwa Desemba 4, 1969, Bedford Stuyvesant, Brooklyn, New York, Marekani, umri wake kwa sasa ni miaka 40. Alitekelezwa na baba yake akiwa mdogo, hivyo kuishi kwa nguvu ya mama. Akiwa na umri wa miaka 12, alimpiga risasi kaka yake begani kwa kumuibia kidani chake. Alisoma George Westinghhouse Career and Technical Education High School, Downtown Brooklyn ambako alikutana na wakali wengine wa Hip Hop, Big, AZ na Busta Rhymes, baadaye alijiunga Trenton Central High School, Trenton lakini akafeli, hivyo kuanza kukomaa na muziki, pia kujihusisha na kuuza dawa za kulevya.

Monday

Jay-Z And Cam'ron: A History Of Beef




The Diplomats' latest attack on Hov comes over the instrumental for Kanye’s latest single “Runaway,” which he debuted on the VMAs this past Sunday. In the freestyle Cam’ron spits, “And Kanye, you a sucka n----/ Dissed Dame, so my attitude is f*** the n----/ Stuck to Jigga, how you gon’ live with that?/ Took the beat, now come get it back.”

Will this beef ever go away? Probably not. The Dip Set crew have been baiting Jiggaman for a battle since the mid-aughts, largely to no avail barring Jay's Kingdom Come LP but we'll get to that. Despite the looming hatchet, Cam and Jimmy actually have quite a bit of history with Jay. Check out the troublesome trio's timeline to learn just how well they know one another.

1995: Both Jay-Z and Cam’ron appear on Big L’s Lifestylez Ov Da Poor and Dangerous LP, albeit on different songs (Jay on “Da Graveyard” and Cam on “8 iz Enuff,” respectively).

1996: Jay-Z forms Roc-A-Fella Records with partners Damon Dash and Kareem “Biggs” Burke, both of whom Jim and Cam reportedly grew up with in Harlem.

1997: Cam’ron signs to Sony/Epic through Lance “Un” Rivera’s Undeas Entertainment. Another artist signed to Undeas, Charli Baltimore, is in a short-lived supergroup with Jay-Z and the late Notorious B.I.G. called The Commission.

1999: Jay-Z reportedly stabs Lance “Un” Rivera in a nightclub over charges that he’s bootlegging Jay’s fourth LP, In My Lifetime Vol. 3. Jay maintained his innocence early on but later plead guilty to a misdemeanor charge.

2000: Cam’ron releases his second LP S.D.E. which features a cameo from Destiny’s Child (read: Beyoncé) on the song “Do It Again.” It also includes the song “Let Me Know,” which includes numerous subliminal shots (“you rap about money, man, who are you anyway?” and “When the f--- we start bouncin'?”) at Jay-Z.

2001: Cam’ron demands a release from Sony/Epic and is courted by his childhood friend Damon Dash. He signs with Roc-A-Fella/Def Jam later that year and brings his Diplomats crew and boutique record label with him.

2002: Come Home With Me, the third album from Cam’ron. Buoyed by the Just Blaze-produced single “Oh Boy,” the album goes platinum. Jay-Z joins Cam on “Welcome To New York City,” a street single from the LP that cements their partnership.

2002: While Jay-Z is away on vacation, Jim Jones announces that Cam’ron has been made a Vice President at Roc-A-Fella. Jay doesn’t agree with the move and friction between the two begins to surface.

2003: In the midst of the Jay-Z/Nas feud, Nas disses Cam’ron on New York’s Power105. Cam’ron subsequently joins the beef against Nas and releases “Show You How,” a freestyle dis to the instrumental of the original Jay-Z song.

2004: Jay-Z, Dame and Biggs sell their 50% interest in Roc-A-Fella to Def Jam. Jay-Z is made President of Def Jam and thus takes control of the label. Dame and Biggs create the Dame Dash Music Group. Cam’ron and Dip Set side with their childhood homies.

2006: Cam’ron releases “You Got To Love It,” a dis track aimed at Jay-Z, alleging that Hov blocked him from taking the VP job at Roc-A-Fella. He also claims that a gunman who shot him in Washington, DC one year earlier in a botched carjacking threw up the ROC’s diamond hand signal. He also says Jay stole Kanye West, Roc-A-Fella Records and the Roc-A-Wear clothing brand from Dame Dash. Jay-Z doesn’t respond.

2006: After ignoring Dip Set's taunts, Jay finally replies publicly on his LP Kingdom Come. "N----s are like why don't you get at old boy/Why kill the puppet it leaves Gapeto alive/Why not wait to catch them all together this way you dig one big hole one time," Hov rhymes on "Dig A Hole." "It's like the disciples dissing Jesus becoming his rivals the one thing that they owe they life to," he continues.

2007: Tru Life, an artist signed to Roc-A-Fella subsidiary Roc-La-Familia, takes up for his label boss and begins trading insults on mixtape cuts with Dip Set. He winds up punching Cam’ron in the face outside of New York’s club Stereo.

2007: as Jay-Z preps his American Gangster concept LP, Jim Jones releases a mixtape of the same name, with a bevy of disses aimed at Jay. Jay replies with “Brooklyn High,” a freestyle over Jones’ “We Fly High,” claiming, “That’s balling? Men lie, women lie, numbers don’t.”

2008: In a joint interview with Complex Magazine, Jones and Damon Dash say Kanye doesn’t really like Jay-Z. They also indicate that their problems with Hov date back to 2001, when Jay-Z allegedly bought the Kanye West-produced track “H To The Izzo” after hearing him play it in a studio session for Cam.

2008: Ron Browz and the Jim Jones/Juelz Santana-featured remix to the single “Pop Champagne” climbs the charts. The autotuned track becomes the lead single for Jones’ 2009 LP, Pray IV Reign.

2009: Jay-Z releases “Death of Autotune,” putting the kibosh on Jones’ success. The single sets up his Blueprint 3 album, where on the very first cut “What We Talkin Bout,” he puts the beef to bed saying “I ain’t talkin' 'bout Jimmy, I ain’t talkin' bout Dame.”

2010: Jim Jones and Cam’ron release their “Toast Freestyle” over Kanye’s “Runaway” and the beat goes on. Source:http://rapfix.mtv.com/2010/09/18/jay-z-camron-beef-runaway-remix/

Jay-Z & Beyonce Make Guinness Book Of World Records As Biggest "Power Couple" For Earning $122 Million


Who is the world's highest earning celebrity? Which power couple dominates the entertainment world? What pop star commands the most searches on the Internet? The new Guinness World Records 2011 edition out now reveals all this and more in its celebrity-filled pages.

As one of the most talked about pop stars in recent memory, it should come as no surprise that Lady Gaga earned two records for the new book – "Most Searched-For Female" on Google and "Most Weeks On UK Chart In Any Year" with an astounding 154 weeks. Gaga shares her place in the new book alongside two of music's superstars – Jay-Z and Beyonce. Named the year's biggest "Power Couple", Shawn "Jay-Z" Carter and Beyonce Knowles earned an astounding $122 million through June 2009.

Two celebrities this year making headlines for their high profile personal lives also made the book. Lindsey Lohan, takes the dubious honor as "Most Infamous Female Celebrity" thanks to her run-ins with the law and the unfortunate performances of her latest movies and Tiger Woods, who ruled the tabloids for his extramarital affairs, didn't see an impact on his earnings yet as he assumes his place as the "Most Powerful Sports Star". The golf phenom raked in an impressive $103 million and topped the 2010 BusinessWeek Sports Power 100 list.

Miley Cyrus, a celebrity who has toed the line between controversy and a thriving career success, also enters into the book as the "Most Charted Teenager". The singer/actor, scored her 29th US Hot 100 chart entry on November 7, 2009 with "Party in the USA".

"Where else would Sarah Palin be beaten by Lady Gaga than in the Guinness World Records book! Gaga – who takes over from Palin as the most searched for female on the internet – is just one of the new big names to make it into the Guinness World Records book this year. She joins a stellar cast including Lindsay Lohan, A-Rod, Jay-Z and Beyonce, Brangelina, the Khardashians, and so on, in our most celeb-packed edition yet. These recession-proof stars guarantee to bring a bit of glamour to our book. Their artistic endeavors – and their influence over the public are indisputable," said Craig Glenday, Editor-In-Chief, Guinness World Records.

Although Twilight fans may take sides on Team Jacob or Team Edward one thing they can agree upon is that their favorite movie has made into the Guinness World Records book. In November 2009, the Twilight sequel New Moon eclipsed The Dark Knight to achieve the "Highest Opening Day Gross" of $72.7 million.

In tribute to the "King of Pop", the new Guinness World Records book features a special page devoted to Michael Jackson. The untimely death of MJ made the entertainer the "Most Searched-For Male" on the web and earned him several posthumous records reinforcing his spot at the top of the entertainment world. MJ, a fan of the Guinness World Records book, is a multiple record holder receiving eight over his lifetime for his chart achievements, album sales, earnings and charity donations.This world renowned and celebrated annual, Guinness World Records 2011, contains the most comprehensive collection of the greatest and most amazing accomplishments from this past decade and beyond. A "must-have" for both knowledge-seekers and aspiring record-breakers of all ages, Guinness World Records 2011 is available September 15th for the suggested retail price of $28.95. For more information about Guinness World Records 2011, to find out how you can participate in Guinness World Records Day 2009 or to vote for your favorite records, visit our website at: www.guinnessworldrecords.com

About Guinness World Records

Guinness World Records is the universally recognized authority on record-breaking achievement. First published in 1955, the annual Guinness World Records book is published in more than 100 countries and 25 languages and is one of the highest-selling books under copyright of all time with more than 3 million copies sold annually across the globe. Guinness World Records celebrated its 50th anniversary edition in 2004, a year after the sale of its 100 millionth copy. Guinness World Records also annually publishes the Gamer's Edition; a records book devoted solely to the world of computer gaming and high score record achievements. The Guinness World Records website (www.guinnessworldrecords.com) receives more than 11 million visitors a year. Guinness World Records is part of the Jim Pattison Group, one of Canada's largest privately owned companies which is a conglomerate of interests, including advertising, broadcasting, grocery stores and automotive retailing.

Saturday

FABOLOUS ADDRESSES RUMOR THAT HE'S DATING AMBER ROSE


ICEDOTCOM - Fab visited MTV's RapFixLive and spoke to Sway about rumors of him dating Amber Rose saying that she's his...check out on icedotcom fore refference

Prodigy Will Be Released In February


Prodigy is currently incarcerated due to a three years and half years sentence for weapons possession.Alchemist told MTV that Prodigy will be released this February"P comes home in February. It’s gonna be a very busy time. It’s amazing. He feels like he’s home already. He’s in the best health he’s been in. He’s really excited. I’ve been sending him beats. Havoc is sending him beats. I e-mail them to his wife, and she puts it on some type of cassette. It’s like he’s in the studio, he’s just not recording."

Soulja Boy Reveals 2 covers For The DeAndre Way


Soulja Boy revealed the 2 covers for his upcoming album The DeAndre Way in stores November 2nd.check more in his web

Wednesday

Documentary mpya ya Tupac kutoka mwakani.


Documentary mpya ya The Late Tupac shakur inatarajiwa kutoka mapema January mwaka 2011. Wakati leo ni maadhimsho ya miaka 14 tangu mtu mzima Tupac Shakur afariki dunia kutokana na Majeraha ya risasi, na katika kuadhimisha siku hii ndio ikatolewa Taarifa za Documentary hii mpya iliyopewa jina la Uncensored and Uncut: The Lost Prison Tapes, ambapo ndai yake kutakua na clip ya Mahojiano(Interview) ya Pac ambayo haijawahi kuonekana sehemu yeyote.

Footage za Documentary hiyo zilipigwa mwaka 1995 wakati ule Pac anatumikia kifungo chake katika Gereza la Clinton Correctional Facility.

Katika mahojiano hayo Pac anazungumzia mahusiano yake na mama yake, pia anazungumzia tukio la kupigwa risasi mpaka kukaribia kupoteza uhai wake.

Hii si Documetary ya Kwanza kutoka ikiwa inamzungumzia Tupac, Nyingine ni: Tupac: Resurrection, released in 2003.

* 1997: Tupac Shakur: Thug Immortal
* 1997: Tupac Shakur: Words Never Die (TV)
* 2001: Tupac Shakur: Before I Wake...
* 2001: Welcome to Deathrow
* 2002: Tupac Shakur: Thug Angel: The Life of an Outlaw
* 2002: Biggie & Tupac
* 2002: Tha Westside
* 2003: 2Pac 4 Ever
* 2003: Tupac: Resurrection
* 2004: Tupac vs.
* 2004: Tupac: The Hip Hop Genius (TV)
* 2006: So Many Years, So Many Tears
* 2007: Tupac: Assassination
* 2009: Tupac: Assassination II: Reckoning

Thursday

Mtoto mwingine wa Will Smith ajitosa kwenye Muziki

Baada ya mtoto wake wa kiume Jaden Smith kufanya vizuri katika movie ya The Karate Kid na pia kupiga Collabo na Justin Beiber katika ngoma ya Never say Never, Mtu mzima Will Smith anaendeleza maajabu kwa kumuibua mtoto wake mwingine wa Kike katika fani hii hii ya kuimba.

Mtoto huyo anajulikana kwa jina la Willow Smith na ngoma aliyofanya inaitwa Whip My Hair, dogo ana umri wa miaka tisa na katika ngoma hiyo Willow anawa encourage Galz to snap their heads back and forth and whip that hair like a helicopter, akitumia mitindo flani ya Fashion Idol wake Rihanna, mtoto huyo ambae baba na mama yake ni wasanii(Will Smith na Jada Pinket) anaonekana amepata Trainning ya kutosha kutoka kwa wazazi wake na has what it takes to tussle with the big girls—and her ’tude hasn’t gone unnoticed.

She’s already received a co-sign from Solange Knowles, known for her own experimental hairstyles. “WIllow Smith make me wanna whip some haiiirrr in this house. Ummm kill em girl. Kill em!” she tweeted.

Tuesday

Ludacris, Chris Brown, & Kelly Rowland Have a Ball at LudaDay



Ludacris scrolled through his Rolodex for his 5th Annual LudaDay Weekend, a weekend-long event meant as a platform to give back to the community. The Atlanta MC took over Morehouse Gym at Forbes Arena yesterday (Sept. 5) for a celebrity basketball game, where stars including Nelly, Chris Brown, Bow Wow, Chris Paul, and Polow Da Don squared off on the court while Ne-Yo, Kelly Rowland, and Teairra Mari watched from the sidelines. Ballin’!

Justin Bieber and Jaden Smith Have a Dance-Off at NY Bowling Alley


Just what do tweens Justin Bieber and Jaden Smith do after their concerts? Well, it appears that they go bowling and break out into dance battles! That's what happened Tuesday night after they performed at Madison Square Garden, according to TMZ.Justin, 16, and Jaden, 12, apparently busted some awesome moves to Justin Rudolph's song "You Make the Rain Fall," and, conveniently, the whole epic display was caught on camera by the Bieb's documentary crew. (He's filming a 3D film about himself, for those of you not signed up for Bieber news alerts.)

Insiders say Justin busted out a moonwalk and clearly won -- though both "killed it" on the dance, er, bowling alley floor.

Askari achunguzwa kwa kumpendelea Wayne garezani


Mlinzi katika Gereza la Rikers huenda akawajibishwa kutokana na kumpa huduma za upendeleo Super mfungwa katika gereza hilo, Rapper Lil Wayne.Uongozi wa Gereza hilo umeanzisha Uchunguzi dhidi ya Captain Brown baada ya kupokea malamiko kuwa mlinzi huyo anaspend extra time na Lil wayne.
Gazeti la New York Post linaripoti kuwa Captain Brown alikua akimruhusu Wayne kukaa kwenye Cell yake wakati wafungwa wenzake wakiwa wameamriwa kwenda Recreation Yard(kufanya shughuli nyingine)

Mlinzi alisahau kuwa wafungwa wote wanapokua gerezani wanakua ni sawa. Mapema mwezi wa nne mwaka huu, mwezi mmoja tu baada ya Wayne kuingia katika gereza hilo, Amelia Negron mlinzi katika gereza hilo, alifukuzwa kazi kutokana na kumspy Wayne kinyume cha sheria.

Lakini hii si mara ya kwanza kwa Walinzi wa gereza hilo kukutikana na hatia ya kuwapendelea Masuper Star wanaofungwa katika gereza hilo, Mwaka 2009 kuna ripoti ya uchunguzi ilithibitisha kuwa Foxy Brown alikua akipata huduma za upendeleo wakati akitumikia kifungo cha miezi tisa katika gereza la Rikers mwaka 2006.

Inasemekana foxy Brown alikua akipata huduma za kutumia simu na kuwatch Tv bila ukomo, alikua akipata Make up, Nguo za gharama na chakula kutoka nje

October 2009 muhusika yaani mlinzi huyo aliresign kuokana na Scandal hiyo.

JAMANI CHECKIN POZI ZA MDADA IREN UWOYA





CHEKIN HUU UJUMBE

Friday

Oprah “Natamani kufanya shoo kwenye uwanja wa soka”


Presenter maaraufu huko pande za ‘mbelembele’, Oprah Winfrey ‘ame-expressed’ hamu yake ya kufanya shoo yake ya runinga ijulikanayo kama the Oprah Winfrey Show ndani ya dimba (uwanja) kubwa la soka kabla ya kuachana na kazi hiyo.

Mbele ya wadau wa mtandao wa TV Guide, Oprah alichana kuwa yuko kwenye mipango maalum ya kutekeleza azma yake hiyo ya kufanya shoo kwenye uwanja unaomilikiwa na timu ya Chicago Bears wenye uwezo wa kuchukua watazamaji zaidi ya 61,000 kabla ya tarehe ya mwisho ya kufunga kipindi chake hicho kilichoruka kwa miaka 25 ndani ya runinga ya US TV .

“I don’t know if that’s going to happen, lakini nina hamu ya kufanya hilo mbele ya watazamaji 61,000 kabla sijastaafu rasmi kazi hii mwezi septemba mwaka ujao,” alisema Oprah.

check this youngs on market


Chriss brown and tyga
nick Minaj

Diddy apelekwa mahakamni na mfanya kazi wake wa zamani


Sean "Diddy" Combs jana amefunguliwa kesi ya madai ya doal milioni kumi na mbili katika mahakama ya jijini Newyork. Aliyefungua kesi hiyo na mfanyakazi wake wa zamani, ambae anadai kuwa Diddy alimtimua kazini kutokana na umri wake mkubwa na mahitaji yake ya kutibiwa.

Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kinasema kuwa, mama huyo wa kizungu katika file ya kesi hiyo ameandika kuwa ana umri wa miaka 51 na alizinguana na Diddy kwasababu alimwambia anataka kufanya Hip Surgery. Bi Spero alikua Vice President of Management and Publishing wa BAD BOY RECORDS.

Anasema Diddy alianza kwa kumtoa kwenye cheo chake na ilipofika mwezi wa tatu mwaka huu akampa cheo hicho mwanamke mwingine ambae Bi Spero anadai hana skillz kama zake lakini pia ni mdogo kwake kwa umri wa miaka 10-15.

50 CENTS AFUNGA ACCOUNT YA TWITTER ILI KUMALIZIA ALBUM YAKE.


Baada ya kuwa anaandika Tweets za kuwashambulia celebrities, hatimaye Rapper 50 Cents jana ametangaza kuahirisha kutumia Account yake ya Twitter mpaka jumatatu ijayo, kwa kuwa anataka amalizie kuandaa album yake ya 'The Return of the Heartless Monster' ambayo anatarajia kuidondosha hivi karibuni, jamaa ameisifia Album yake kwa kusema itakua Classic.

Fif aliwaandikia wafuatiliaji/followers wake milioni 3,070,000 kuwa : "Ok ladies and gentalmen [sic] I'm writing my new album. I will not be on twitter again till sept 6 This album will be a classic." Mapema wiki hii 50 Cents alitoa taarifa kuhusu album yake, kwa series za tweet na ndipo aliporelease jina la album na siku itakapotoka.

Kwa mujibu wa fif album yake itaingia kwenye mtandao tarehe 6 september

Young Buck kumpeleka 50 Cent mahakamani

Baada ya kuzuiliwa kwa mali zake na TRA ya Marekani IRS, Memba wa zamani wa kundi la G-Unit inaripotiwa kuwa ameamua kutafuta msaada wa Kisheria kutokana na mgogoro wa kimkataba kati yake na 50 Cents, ambae inasemekana bado ana shikilia umiliki wa mkataba kati ya Young Buck na G-unit.

Kwa mujibu wa Nashville City Paper, Young Buck ana mpango wa kudai dola milioni tano, kutokana na na kubaniwa Kumshirikisha na msanii yeyote kwenye ngoma zake, lakini pia mtu mzima kwa kipindi chote alichotemwa na Kundi hilo miaka mitatu iliyopita, Label hiyo haija release ngoma yake yoyote, pamoja na 50 Cents wengine wanaoshtakiwa ni SHA MONEY XL na G-Unit.

Kwa mujibu wa mwanasheria wa Young Buck, kesi hiyo itafunguliwa ndani ya siku 30-60

Kama unakumbuka Young Buck aliwahi kulalamika kuwa 50 Cents anataka yeye afilisike, kwasababu baada ya kumtema kwenye kundi la G-Unit aliendelea kumshikilia kimkataba kwenye label ya G-unit kwa hivyo Young Buck hakuweza kurelease ngoma yoyote ya Kibiashara/Commercial Song nje ya label hiyo, lakini pia kila alipokwenda studio jamaa waliziponda idea zake na alipotaka kuwashirikisha wasanii wengine katika ngoma, 50 alicrush vibaya mno.

Mpaka hivi karibuni IRS walipomtimbia nyumbani kwake na vitu vyake kibao vyenye thamani. http://api.ning.com/files/fW2QiYuodgtrhcXatd81fnTl0-0GOrZhODi9NYD-4itOYr5Pb8VLix*gCXkqgqHr3GS0dPUMuAmuf19lIncOcgYtDiidprWX/young_buck_4.jpg

ALI KIBA ATEMANA NA MENEJA WAKE WA SIKU NYINGI (G-Lover)


Hivi karibuni tulipata taarifa kuwa Msanii maarufu wa muziki wa Kizazi Kipya Ali kiba, ametemana na Label ya G-Records na kuamua kufanya kazi kimpango wake, Tulimtafuta Ali Kiba ili athibitishe taarifa hizi….na kumuuliza je taarifa hizo ni za kweli: ALI KIBA alithibitisha hilo, na kusema ameamua kumpunguazia majukumu bosi wake wa zamani/G-Lover kwani anahisi yupo busy sana na kazi zake za kuongoza kituoni flani cha radio kilichopo visiwani zanzibar, nilitaka kufahamu amejiandaaje na safari ya kimuziki huku akiwa mbali na mtu aliyemuongoza kuanzia under ground level mpaka hapo alipo? ali kiba alijibu kuwa ameshazoea kwani ni siku nyingi alishaanza kujiongoza kwa msaada wa kidogo wa g-lover.

haikuishia hapo, tuliamua kumtafuta mtu mzima G naye akathibitisha hilo, na kusema kuwa hawana ugomvi wowote na Kiba, kilichopo wakati huu kama kiba atataka kurekodi katika studio yake basi atatakiwa kulipia kama wasanii wengine.