Friday

Oprah “Natamani kufanya shoo kwenye uwanja wa soka”


Presenter maaraufu huko pande za ‘mbelembele’, Oprah Winfrey ‘ame-expressed’ hamu yake ya kufanya shoo yake ya runinga ijulikanayo kama the Oprah Winfrey Show ndani ya dimba (uwanja) kubwa la soka kabla ya kuachana na kazi hiyo.

Mbele ya wadau wa mtandao wa TV Guide, Oprah alichana kuwa yuko kwenye mipango maalum ya kutekeleza azma yake hiyo ya kufanya shoo kwenye uwanja unaomilikiwa na timu ya Chicago Bears wenye uwezo wa kuchukua watazamaji zaidi ya 61,000 kabla ya tarehe ya mwisho ya kufunga kipindi chake hicho kilichoruka kwa miaka 25 ndani ya runinga ya US TV .

“I don’t know if that’s going to happen, lakini nina hamu ya kufanya hilo mbele ya watazamaji 61,000 kabla sijastaafu rasmi kazi hii mwezi septemba mwaka ujao,” alisema Oprah.

2 comments:

mamita joh said...

daaa utatisha kwa issue hiyo dada angu

veronika said...

she can perform well