Sunday

Je ni kweli kua 50cent na Ciara wana Sex Tape?

                                                                  
Baada ya uvumi uliosemekana na kuja kua kweli kua Ray J na Kim Kardashian wana na Sex Tape na hatimae ikaja kutoka kweli na kusambaa all over the world….sasa sasahivi umezuka Uvumi mpyaaaa kua kiongozi wa kundi la G.Unit yani 50cent nae ana sex tape ambayo inamuonesha akiwa na mwanadada ambae ilishawahi kusemekana kua walikua wapenzi hapa namzungumzia Ciara mbali na hayo yote mtandao huo huo uliotangaza kua una sex tape ya 50cent na Ciara yani wakiwa wanafanya mambo yao ila inavyosemekana kua mtu mzima haonekani kwenye movie hiyo ila watu waliweza kuujua mwili wake japokua kichwa kilikua hakionekani ila Ciara ndo anaonekana LIVE! bila chenga na pia si hayo tu jana umetangaza kua kuna Sex Tape mpyaaaaaaa ya mwanadada ambae alikua ni mmoja kati ya waanzilishi wa kundi la Destiny's Child mwanadada Kelly Rowland…..mtandao huo unaojulikana kama Mediatakeout.com ni mtandao ambao umeshawahi kutoa sex tapes za Ma-star wengi sana duniani sasa je na hizi zitakua za ukweli nini?

No comments: