Friday

MILIPUKO YA MABOM GONGO LA MBOTO


jana ilitokea milipuko ya mabomu katika ghala la jeshi maeneo ya gongo la mboto, na pichani ndio taswira ilivyokuwa usiku wa kuamkia leo.mpaka sasa inasemekana watu 15 wameshfariki dunia na majeruhi ni wengi sana. na mpaka sasa kuna watu zaidi ya 1500, katika uwanja wa uhuru wakiwa hawana makazi.unaombwa kutoa msaada wa hali na mali kuwasaidia waathirika wa mabomu hayo

Trey Songz – ‘Love Faces’ EXCLUSIVE

Trey Songz wishes fans a happy Valentine’s Day by releasing “Love Faces,” the latest single off his album Passion, Pain & Pleasure. In the Justin Francis-directed clip, Trigga Trey swings by his girl’s gallery opening where he keeps his distance, later making it up to her by getting steamy in a black-and-white bedroom montage. Watch the two heat up the screen.

Monday

Rihanna And Drake Flirt, Fire Up Grammy Stage

Luckily for Rihanna, she didn't take the Grammy stage until after 11 p.m. on Sunday (February 13) because the Loud star's gyrating hips and seductive dancing might have been too steamy for primetime.

Rihanna was joined by Drake and the two delivered a flirtatious rendition of their "What's My Name?" The Toronto lyricist — dressed in a black leather jacket, boots, sweater and cargo pants — dropped his sexually charged opening rhyme then positioned himself behind Rih Rih for a quick two-step as pyrotechnics fired off in the background.

"Not everybody knows how to work my body," Rihanna sang. "Knows how to make me want it/ Boy you stay up on it/ You got that something / That keeps me so off balance/ Baby you're a challenge, lets explore your talent."

Rihanna traded in the extravagant gown she wore for her performance with Eminem for "Love the Way You Lie" in favor of short red number that was as fiery as her hair. The backdrop could have passed for an erotic scene in Pacino's "The Devil's Advocate." It was by far the sexiest performance of the night.

During a short Calypso-style breakdown, Rihanna shook and shimmied with a sneaky grin. "Ooh na na, what's my name?" she sang on the chorus. "What's my name, what's my name?"

"Baby you got me, ain't nowhere that I'd be," Rih continued on with her verse. "Then with your arms around me, back and forth you rock me/ So I surrender, to every word you whisper/ Every door you enter, I will let you in."

Justin Bieber Performs with Usher and Jaden Smith at Grammys

Best New Artist nominee Justin Bieber made his Grammy debut with some help from his mentor Usher and fellow teen sensation Jaden Smith. The 16-year-old heartthrob strapped on a guitar for “Baby” before kicking things into high gear with the theme from his box office smash Never Say Never. Ninjas came down the aisles and Jaden Smith emerged from a trapdoor to bust a rap. Ursh came back in blue to deliver his smash “OMG,” trading fancy footwork

Lady Gaga poses with Beyoncé and Usher backstage at the 53rd Annual Grammy Awards at the Staples Center in Los Angeles. Gaga picked up the awards for Best Pop Vocal Album, Best Short Form Music Video, and Best Female Pop Vocal Performance, while Usher took home Best Contemporary R&B Album and Best Male R&B Vocal Performance.

Lady Gaga might find the sledding a little rougher this time around as she preps the release of her new album.Her new single "Born This Way" has been panned by critics as being a Madonna rip-off. But Gaga has one fan of the song she has called her "gay anthem" in her corner, and it's from an unlikely source.Queensbridge, New York rapper Nas tweeted yesterday (February 11) that the song is the "craziest track I've heard in a while." He then added a link to Gaga's website for his 148,000 followers so they could purchase or listen to the song.
 


Do you agree with Nasty Nas that "Born This Way" is a banger?

53rd Annual Grammy Awards: Backstage

Lady Gaga poses with Beyoncé and Usher backstage at the 53rd Annual Grammy Awards at the Staples Center in Los Angeles. Gaga picked up the awards for Best Pop Vocal Album, Best Short Form Music Video, and Best Female Pop Vocal Performance, while Usher took home Best Contemporary R&B Album and Best Male R&B Vocal Performance.

Baby Birdman kamjibu Jay Z, Kanunua gari la billioni 1.5


Leo Kupitia Yo hard..!! na Sudi Brown tumesikia kuusu ishu ya Jay Z na Baby wa Cash Money.., sasa Teentz.com imepata more story…… Ukiachana na ishu ya Baby kumwambia Jay Z kuwa ataendelea kutumia pesa.. na anamtaka akae tayari kwa matukio yake ya kuspend yanayokuja…, Pia Baby kamshauli Jay Z kuwa next time akiwa anamdis mtu amtaje na jina kabisa…na sio mafumbo.., Ukiacha ayooo yote… Baby katumia billion 1.5 kununua gari jipya linaloitwa Maybach Landaulet …. Pia baby anamwomba Jay Z aache kumuonea Lil wayne wivu kisa anauwezo wa kuandika mistari mikali kuliko yeye... Na pia anataka Jay Z ajua kuwa Lil wayne is the best rapper alive...




Movie iliyomsababisha 50cent kupunguza uzito wa kilo 27...

Unayemuona hapo ni 50cent wakati anaigiza movie inayoitwa "Things fall apart"...  ni movie itayokuwa inamuelezea 50cent kama kijana anayesoma collage na anacheza american football wakati anaugonjwa wa Cancer..  Tarehe ya movie kutoka au kuingia sokoni bado aijatangazwa...


Thursday

Lil wayne Live kwenye stage akiperform Green & Yellow..!!

Lil wayne alifanya ngoma ya Green and Yellow kwa ajili ya team ya amrerican football inayoitwa Green Bay packers anayoishabikia ambayo mavazi yao ni langi ya green & yellow….., Juzi team hiyo imeshinda Super Bowl… nikitendo kilichomfulaisha sana lil wayne na kuamua kufanya party ya Green & Yellow na kuperfom na maswagaaa kibaooooooooooo.. mcheki mwenye kwenye stage akiwa na kundi zima la cash money live ndani ya Teentz.com na akiwa ametupia green and yellow wakati wa mechi uwanjani….!!


 

Diddy na Cassie Livee.....!!! Kama walivyo zaliwa..!

Kwa mda mrefu kumekuwa na tetesi kuwa mtu mzima P.diddy anatoka na mwanadada Cassie.. Sasa sio tetesi tena kwasababu kitu kimekuwa provided kabisa kupitia picha ambazo zimeleak kwenye mtandao …., Kwenye picha hizo P.diddy anaonekana akiwa amempakata mwanadada Cassie huku wanakiss na wote wakiwa kama walivyozaliwa...unazani walikuwa wanafanya nini jama siyo MIKASI

Cover la Album ya Jennifer Hudson - "I remember me"

Cover la Album ya Jennifer Hudson - "I remember me" ni nzuri hata kwa mwenekano wake je ikitoka itakuwaje?

Jennifer Lopez amesema kua inawezekana Lil wanyne dio The best Rapper Alive

Mwanadadiva ambae ameshafanya kazi na wakali kibao kwenye game duniani akiwemo Ja Rule, 50cent,LL Cool J na wengine kibao hapa namzungumzia Jennifer Lopez jana ameweka wazi mapenzi yake kwa mkali kutoka Young money Weezy F baby au unaweza kumuita Lil wayne…. Jennifer Lopez alisema anamzimia sana Lil wayne na anahisi kua yeye ndo the best rapper alive kama anavyojiita yani kiufupi anawakubali Young Money wote akiwemo mwanadada Nicky Minaj na kuelezea kua japokua bado hajaisikia Album yote ya Nicky Minaj ila amemkubali tu kwa Hits ambazo amezitoa…..

Lil Wayne Pays Off $ 1.13 Million Dollar Tax Debt

Lil Wayne got Uncle Sam off his back by unloading a substantial amount of money recently, Weezy paid off a $1.13 million IRS tax lien owed to the government according to the Detroit News. Now he can turn his attention to his 'Tha Carter IV' album and upcoming tour.

See Court Documents Here

The Young Money/Cash Money camp have another reason to celebrate after the Green Bay Packers' Super Bowl win last night. Wayne is a big fan of the green and yellow, and Birdman reportedly laid down a $1 million dollar bet on the team

Friday

Chris Brown – ‘Up to You’ [Snippet]



Chris Brown
Chris Brown takes it nice and slow on “Up to You,” a new ballad off his upcoming album F.A.M.E. The R&B hunk previewed the song for his fans in a viral video, where he mimes the lyrics while posted up inside a hotel.
A lovestruck Breezy lets his girl call the shots on the slow jam. “I’ma be the one to take a back seat girl/ We can take our time and you can run this/ Stay in, go out/ Anything you want girl, we can do,” he sings.
“my album will contain all types of styles and genres of music…. hopefully my music will inspire and spread peace and positivity,” he told Team Breezy.

Thursday

Dr.dre na Emeniem wachaguliwa kuperform ndani ya tuzo ya grammy 2011

Inavyelekea kama Tuzo za Grammy mwaka huu zitakua ni funika bovu kwa list ya wasanii na watangazaji waliotupiwa pale kati….wasanii watakao perform ni kama Dre,Emeniem,Justin Beiber,Lady gaga na wengine kibaoooo….na kwenye watangazaji ametupiwa LL Cool J, Selena Gomez na mwanadada Nicky Minaj sasa pata picha Show itavyokua…..Teentz itaendelea kukupa List ya wasanii ambao wataongezwa kwenye Perfomance za Tuzo za Grammy 2011 ambazo zitafanyika mwezi huu tarehe 13…….

50cent Hatomnunulia mtoto wake gari aina ya Ferrari

Ukiachia mbali kua msanii na mfanyabiashara mkubwa na mwenye mkwanja mrefu kinoma Curtis Jackson a.k.a 50cent amekataa ombi la mtoto wake wa kiume la kumnunulia gari aina ya Ferrari siku ya Birthday yake ambayo dogo huyo anatimiza miaka 16 na hatimae 50cent kudai kua inambidi mtoto wake atafute mwenyewe kwa nguvu zake kama yeye alivyotafuta……50cent pia amedondosha ngoma mpya leo ambayo inaitwa “old 2003 Ferrari” ngoma ambayo ndani yake anawaponda Wiz Khalifa na kanye west kwa ku share dem yani Amber Rose……

Monday

NICKI MINAJ LYRICS



"Right Thru Me"

[CHORUS:]
You see right through me how do you do that shit [3X]
How do you [5X]

You let me win, you let me ride, you let me rock,
you let me slide and when they looking,
you let me hide, defend my honor, protect my pride
The good advice, I always hated but looking back,
it made me greater, you always told me,
forget the haters just get my money, just get my waiter up
Know when I'm lying, know when I'm crying
It's like you got it, down to a science, why am I trying,
Know you ain't dying, I try to fight it, back with defiance,
you make me laugh, you make me hoarse from yelling at you,
and getting at you, picking up dishes, throwing em at you,
why are you speaking when no one asked you.

[CHORUS 2X]

What are we doing, could you see through me,
cause you say Nicki and I say who me?
and you say no you, and I say screw you,
then you start dressing and you start leaving,
and I start crying, and I start screaming,
the heavy breathing, well, what's the reason,
always get the reaction you wanted,
I'm actually fronting, I'm asking you something
YO, answer this question, class is in session,
tired of letting passive aggression, control my mind,
capture my soul, OK, you're right just let it go,
OK you got it, its in the can, before I played it,
you knew my hand, you can turn a free throw to a goal,
Nigga got the peep hole to my soul

[CHORUS 2X]

Stop!
Stop!
Won't you just stop looking through me 'cause I can't take it, no I can't take it

[CHORUS]

KERI HILSON LYRICS


"Pretty Girl Rock"

Uh uh uh ah uh uh
I can do the pretty girl rock, rock
Rock to the pretty girl rock, rock, rock
Now what's your name

My name is Keri, I'm so very
Fly oh my, it's a little bit scary
Boys wanna marry, looking at my derrière
And you can stare but if you touch it Imma bury

Pretty as a picture
Sweeter than a swisher
Mad 'cause I'm cuter than the girl that's with you
I don't gotta talk about it baby you can see it
But if you want I'll be happy to repeat it

My name is Keri, I'm so very
Fly oh my, it's a little bit scary
Boys wanna marry, looking at my derrière
And you can stare but if you touch it Imma bury

Pretty as a picture
Sweeter than a swisher
Mad 'cause I'm cuter than the girl that's with you
I can talk about it 'cause I know that I'm pretty
And if you know it too then ladies sing it with me

All eyes on me when I walk in,
No question that this girl's a 10
Don't hate me 'cause I'm beautiful
Don't hate me 'cause I'm beautiful
My walk, my talk, the way I drip
It's not my fault, so please don't trip
Don't hate me 'cause I'm beautiful
Don't hate me 'cause I'm beautiful

Aye, now do the pretty girl rock, rock, rock
Do the pretty girl rock, rock, rock
Do the pretty girl rock, rock
All my ladies do the pretty girl rock, rock, rock
Do the pretty girl rock, rock, rock
Do the pretty girl rock, rock
Do the pretty girl rock

(Now where you at)
If your looking for me you can catch me (that's why)
Cameras flashing, daddy turned his head just as soon as I passed him
Girls think I'm conceited 'cause I know I'm attractive
Don't worry about what I think, why don't you ask him? (owoaah!)

Get yourself together, don't hate (never do it)
Jealousy is the ugliest trait (don't, never do it)
I can talk about it 'cause I know that I'm pretty
And if you know it too then ladies sing it with me

All eyes on me when I walk in,
No question that this girl's a 10
Don't hate me 'cause I'm beautiful
Don't hate me 'cause I'm beautiful
My walk, my talk, the way I drip
It's not my fault so please don't trip
Don't hate me 'cause I'm beautiful
Don't hate me 'cause I'm beautiful

Doing the pretty girl rock, rock, rock
Do the pretty girl rock, rock, rock
Do the pretty girl rock, rock
Do the pretty girl rock, rock

All my ladies do the pretty girl rock, rock, rock
Get along with your pretty girl rock, rock, rock
Still show me your pretty girl rock, rock, rock
All my ladies do the pretty girl rock, rock, rock

Sing it with me now
All eyes on me when I walk in,
No question that this girl's a 10
Don't hate me 'cause I'm beautiful
Don't hate me 'cause I'm beautiful
My walk, my talk, the way I drip
It's not my fault so please don't trip
Don't hate me 'cause I'm beautiful
Don't hate me 'cause I'm beautiful

All eyes on me when I walk in,
No question that this girl's a 10
Don't hate me 'cause I'm beautiful
Don't hate me 'cause I'm beautiful
My walk, my talk, the way I drip
It's not my fault so please don't trip
Don't hate me 'cause I'm beautiful
Don't hate me 'cause I'm beautiful

Owoahaha!

DIDDY - DIRTY MONEY LYRICS

Coming Home"
(with Dirty Money
feat. Skylar Grey)


I'm coming home
I'm coming home
Tell the World I'm coming home
Let the rain wash away all the pain of yesterday
I know my kingdom awaits and they've forgiven my mistakes
I'm coming home, I'm coming home
Tell the World that I'm coming

[Diddy]
I'm back where I belong, yeah I never felt so strong (yeah)
(I'm back baby)
I feel like there's nothing that I can't try
And if you with me put your hands high
(put your hands high)
If you ever lost a light before, this ones for you
And you, the dreams are for you

I hear "The Tears of a Clown"
I hate that song
I always feel like they talking to me when it comes on (come on)
Another day another Dawn
Another Keisha, nice to meet ya, get the math I'm gone
What am I 'posed to do when the club lights come on
Its easy to be Puff, its harder to be Sean
What if the twins ask why I aint marry their mom (why, damn!)
How do I respond?
What if my son stares with a face like my own
And says he wants to be like me when he's grown
Sh-t! But I aint finished growing
Another night the inevitible prolongs
Another day another Dawn
Just tell Taneka and Taresha I'll be better in the morn'
Another lie that I carry on
I need to get back to the place I belong

[Dirty Money - Chorus]
I'm coming home
I'm coming home
Tell the World I'm coming home
Let the rain wash away all the pain of yesterday
I know my kingdom awaits and they've forgiven my mistakes
I'm coming home, I'm coming home
Tell the World that I'm coming

[Diddy]
"A house is Not a Home", I hate this song
Is a house really a home when your loved ones are gone
And n-ggas got the nerve to blame you for it
And you know you woulda took the bullet if you saw it
But you felt it and still feel it
And money can't make up for it or conceal it
But you deal with it and you keep ballin'
Pour out some liquor, play ball and we keep ballin'
Baby we've been living in sin 'cause we've been really in love
But we've been living as friends
So you've been a guest in your own home
It's time to make your house your home
Pick up your phone, come on

[Dirty Money - Chorus]
I'm coming home
I'm coming home
Tell the World I'm coming home
Let the rain wash away all the pain of yesterday
I know my kingdom awaits and they've forgiven my mistakes
I'm coming home, I'm coming home
Tell the World that I'm coming

[Diddy]
"Ain't No Stopping Us Now", I love that song
Whenever it comes on it makes me feel strong
I thought I told y'all that we won't stop
We back cruising through Harlem, Viso blocks
It's what made me, saved me, drove me crazy
Drove me away than embraced me
Forgave me for all of my shortcomings
Welcome to my homecoming
Yeah it's been a long time coming
Lot of fights, lot of scars, lot of bottles
Lot of cars, lot of ups, lot of downs
Made it back, lost my dog (I miss you BIG)
And here I stand, a better man! (a better man)
Thank you Lord (Thank you Lord)

[Dirty Money - Chorus]
I'm coming home
I'm coming home
Tell the World I'm coming home
Let the rain wash away all the pain of yesterday
I know my kingdom awaits and they've forgiven my mistakes
I'm coming home, I'm coming home
Tell the World that I'm coming

Game’s ‘R.E.D. Album’ to Be Star-Studded Fest

Game struck gold with his double-disc mixtape Purp & Patron, a worldwide trending topic on Twitter since its release. But the Compton native promises that the giveaway has nothing on his long-awaited R.E.D. Album.

The West Coast MC claims that his oft-delayed fourth LP will exceed any material on his mixtapes. “The mixtape s*** is incredible by the fans’ choice, but I know my music and the album is 20 times better than the mixtape,” he told Rap-Up.com. “It’s just a mixtape. I had no intention that it was going to be this big of a deal, but if people are raving over this mixtape like that, then the album is nothing to play with.”

Game maintains that R.E.D. will still be executive produced by Pharrell and feature production from Dr. Dre, and that he’s only a week away from settling on an official single. “I got a couple singles picked out. I talk to the label in a week and I’ll play them the whole album and we’ll come to an agreement collectively on what we should go with,” he explained. “I got shitloads of singles for the album. So we’ll see what catches and we’ll roll with it.”

As far as collaborations, the former G-Unit rapper did reveal that Chris Brown and Wiz Khalifa will make the final cut. “Oh yeah, Wiz is on the album, Chris is on the album. Pretty much everyone is on the album,” he shared. “Whoever you could think of. Except Jay-Z and 50.”

Though he wouldn’t say who else would be featured on the LP, he assures that R.E.D. will arrive in the next few months. “The album is going to be finished within the next couple of weeks so you can be looking for Interscope to get behind the single and push it and deliver a date,” he said. “The s*** that’s on The R.E.D. Album is incredible.”

Eti Nicky Minaj ni Boss wa Drake

Maswali kibao yanaendelea kuzuka juu ya uhusiano kati ya Nick minaj na Drake … Eti juzi Nick minaj akiwa kwenye enterview na MTV aliulizwa ilikuaje akapata colabo na Drake kwasababu Drake ni mmoja wa wasaniii ambao wako busy sana….. Nick minaj akajibu akisema : Mimi ndio Nick minaj, Bosi wa Drake…. Anafanya mimi nachotaka…. Na mambo mengine kibao…..

T-pain kajipiga tattoo ya Facebook.....


T-Pain. The Auto-Tune King ameonesha mapenzi yake na mtandao wa Facebook kwa kujitupia kitu cha tatoo kwenye mkono wake nakuandika "You Don't Have to Like Me" maneno ambayo kwa chini yake ameweka ki button cha facebook

Friday

P.Diddy anadaiwa faini ya Dollar Trillion 1 za kimarekani..


Kuna mwanamke pande za U.S kampereka P.Diddy mahakamani na kudai faini ya Dollar Trillion Moja za kimarekani….kwa pesa ya kibongo inabidi ubadilishe mwenyewe hapo… Mwanamke huyo anadai kuwa yeye na watoto wake walibakwa na P.Diddy akiwa na watu wake miaka 24 iliyopita…  FULL STORY...
Over the years Sean "Puffy" Combs has seen his share of beefs and crazy situations.

There was the time he popped Steve Stoute over the head with a champagne bottle for leaving a scene with Nas being crucified in their 1999 video "Hate Me Now" Then there was the 2005 Hot 97 shouting match with The Lox, where Jadakiss and Styles P were calling Puffy every name in the book, demanding their publishing. Of course last June's bizarre interview with Martin Bashir has to be mentioned, if only for the fact of how confused Diddy looked the entire interview while Bashir "mindf*cked" him.

All of that pales in comparison to the lawsuit that was just filed against the Bad Boy CEO that accuses him of rape, being a deadbeat dad and bringing down the World Trade Center.

Valerie Joyce Wilson Turks, who is obviously off her recommended dose of meds, filed the lawsuit seeking $1 Trillion dollars from Combs reports Radar Online.

The lawsuit also names Diddy's girlfriend, Kim Porter and L.A. police beating victim Rodney King.

"[Diddy] went through Kim Porter and Rodney King and knocked down the WTC and then they all came and knocked my children down. Set me up to be on disability and disabled my baby. he put my baby in a wheelchair." Turks alleges in the suit.

She claims Diddy fathered her 23-year old son, Cornelius Wilson.

"He date raped me 24 years ago and knocked me down him and Kim Porter and Wallace Wright, then Sean Combs and Kim and Wallace Wright came back 18 years later and raped and sexually abused my children and knocked my children down and crushed me and my children daily.

Plus I won a lot of money at the casino in Mississippi and Sean P. Diddy Combs has my chip to my money. I heard he gave it to Gwen Allen to hold but she can not cash it in. I want my chip please help me. it's well worth over 100 zillions of dollars, and my hospital keys. They put me and my baby in the hospital and broke my baby 2 legs and sexual assaulted my children and crushed us." Turks wrote.
 Read documents here

She wants $900 billion dollars in child support, and $100 billion dollars for “loss of income.”

This isn't the 1st time a crazy woman has bothered Combs. Last year a Florida woman, Cemilia Green was arrested after trying to break into his Hamptons crib. When caught by police Green said she was Diddy's wife.

Cemelia Green

Looks like Diddy might want to up his security detail.

50cent aelezea mafuns wake kuusu beef lake na Cam'ron


50CENT ni msanii ambaye kausika kwenye beef na wasanii kibaooo…… kuanzia Ja Rule hadi Fat Joe…. Kupitia interview aliyofanya na MTV juzi kati alisema kuwa katika watu wote aliokuwa na beef nao ambaye amchukii ni Cam’ron na anataka kuwajulisha watu kuwa beef kati yake na Cam’ron lilikuwa beef la ki-hip-hop..la kurushiana maneno tu na anampenda Cam’ron kwasababu ni mtu mwema sana kwake…. Ila Ja Rule na Fat Joe ni watu ambao anawachukia… yani akilala akiamka anawawaza tu….!!

List ya watu wenye Beef na 50cent...
Jay Z, Young Buck, Kanye West, Fat Joe, Ja Rule,
Wyclef Jean,Big Pun, The Game, Rick ross, Lil wayne, Birdman,
Nas,

Snoop Dogg Puts Out Video Pleading For Lady Gaga To Record Track With Him "It's A Real Nice, Freaky Deaky Kind Of Song"

Video After The Jump

I guess when you can't track down an entertainer by phone, the next best thing is putting up a youtube video plea.

That's what West Coast veteran rapper Snoop Dogg hopes to accomplish with his video released yesterday (January 24), asking Lady Gaga to record a song with him.

"Attention, this is an APB (all-points bulletin) out for Lady Gaga, big Snoop Dogg is lookin' for you, I'm trying to do a song with you. It's a real nice freaky deaky kind of song. Get at me." The Doggfather said.

Snoop is set to drop his 11th album "Doggumentary", in March, maybe we will hear a Snoop/Gaga collaboration on that disc.

Would you like to hear Lady Gaga on a Snoop Dogg track?

Lil Kim anatoka na kitu cha Black Friday "MIXTAPE


Mwanadada Lil Kim anaendeleza beef lake na Nick Minaj…. Alianza na ngoma inayoitwa Black Friday …akaja na Video na sasa ni kitu cha Mixtape…ambayo itatoka siku ya Valentine’s Day. 2/14/11...“Black Friday the mixtape – 2/14/11- WHO THE F*** WAR? #ItsBlackFridayHoe LEGOOOO!!!!! hayo ni maneno ya lil kim alioandika kwenye tweeter.

Jennifer Hudson na yeye anaabudu majini

Nadhani ishu ya Jay Z,Kanye west na lady gaga kujihusisha na ishu za kuabudu majini sio ngeni masikioni kwetu….sasa mpya ni kuwa mwanadada Jennifer Hudson naye anausika…na ni yeye mwenyewe ambaye anatangaza hayo mambo….

Monday

Lil Wayne Gets ‘Revenge’ with Nicki Minaj

Roman is about to meet Lil Wayne. Weezy is squaring off with Nicki Minaj’s alter-ego on the remix to “Roman’s Revenge.” The Harajuku Barbie’s mentor has recorded a remix to the Swizz Beatz-produced song, Rap-Up.com can confirm. The new version will be released to iTunes next week. Eminem was featured on the original track, which is included on Nicki’s platinum-certified debut Pink Friday.

The Young Money raptress was hopeful about getting Wayne on a remix following his release from Rikers Island last November. “I think that he’s definitely going to be doing a remix, as he was in jail when I recorded Pink Friday,” she told DJ Skee. “He’s not on Pink Friday, so I will definitely want to get his little butt in the studio to do a remix right away.”

Nicki may deliver a performance of “Roman’s Revenge,” with or without Weezy, when she hits “SNL” on January 29

Snoop Dogg na Game watoka na kitu cha ‘Purp & Yellow

Black and Yellow imekuwa Purple and Yellow….. mpango mzima ukisababishwa na Snoop akiwa na The Game… yani pale wanaposema black and yellow wao wanasema Purple and Yellow… Wamefanya hivyo kwaajili ya Team ya Basket ball inayoitwa Lakers…. Ambao mavazi yao ni ya langi ya Purple na Yellow.....

Demu wa Mr Black and Yellow a.k.a Wiz Khalifa mwanadada Amber Rose amemkiss mwanamke mwenzake hadharani

Juzi kati kupitia twitter imethibitishwa kuwa Wiz Khalif na mwanadada Amber Rose wanadate…. Wakati huo huo Amber Rose naye anadate na demu mwenzake (yani na yeye pia anademu.., na juzi kati walienda kwenye kidate na kukiss mbele za watu tukio zima lilitokea ndani ya Beso Restaurant in West Hollywood................





Message ya Kanye West kwa Britney spears

Juzi kati kanye west alikuwa anamtania Britney spears kupitia twitter akimwambia kuwa ngoma yao na Jay Z itaifunika ngoma yake mpya ambayo ipo kwenye chart

Friday

Kanye and Lil Wayne secretly collaborate

Kanye and Lil Wayne secretly collaborate
RollingStone.com has learned Lil Wayne and Kanye West came together for a studio session on Sunday night. While its unknown if the potential collaboration will appear on Weezy’s highly anticipated Tha Carter IV LP, Young Money engineers confirm on Twitter that the two rap stars were definitely recording together. One thing is for sure, if these guys are recording a joint album…T-Pain is going to be upset! There’s still no word on when Wayne and the Auto-tune king intend to drop their T-Wayne LP!

New Music: Foxy Brown – ‘Massacre’ (Lil’ Kim diss}

Foxy Brown
Lil’ Kim exchanged heated words with her nemesis Nicki Minaj and now Foxy Brown enters the ring. The Ill Na Na spits venom at the Queen Bee on the full version of her diss track “Massacre,” originally titled “Christmas Massacre” and then changed after it missed its December 25 release date.
“First a bitch wanna hate on Foxy/ Ten years later now she hating Minajie,” raps Brooklyn’s Don Diva over Jay-Z’s “So Ghetto” instrumental. “And all that subliminal rap shit, I’ll put you in a Chinchilla casket … Bear witness to the rise and the fall of Miss Kimberly Jones.”
Did Foxy’s “Massacre” leave her longtime rival bloody? You decide

Cash Money Records to issue a book?

Cash Money Records to issue a book?




BallerStatus.com reports Birdman and Lil Wayne’s Cash Money Records label are looking to drop a new book called Raw Law: An Urban Guide to Criminal Justice next month. Readers will learn more abut the “real” criminal justice system through author and attorney Muhammad Ibn Bashir. If you’re interested, Raw Law will hit shelves on February 15th and retails for $22 for a hardcover and $15.99 for a paperback version.

Nicki Minaj Says She and Rihanna Would Be a ‘Crazy Power Couple’

Rihanna and Nicki Minaj
Drake is not the only one rumored to be dating Rihanna these days. His Young Money cohort Nicki Minaj has recently been linked with the newly single singer. While Nicki laughs off the rumors, she doesn’t rule out the possibility of a future hook up.

The Harajuku Barbie called into Ryan Seacrest’s KIIS FM show this morning to clear up the situation. “I don’t know where people got this really insane, hilarious, random rumor that [Rihanna] and I were living together,” she said.
The sexy ladies laughed about the chatter while shooting the video for “Fly” from Nicki’s debut Pink Friday last weekend in Los Angeles. “We just shot a video for a song I have on the album called ‘Fly,’” shared Nicki. “So when I saw her, the first thing I said was, ‘So did you hear we’re living together?’ And we just started cracking up laughing. She was like, ‘Yo, I can’t believe people are this ridiculous.’”
She continued, “So we TwitPiced ourselves and she put it on Twitter and said, ‘Me and Nicki at our new pad or something.’ And the funny thing is, people still didn’t realize we were joking. People were hitting me like, ‘Oh my God, you’re so lucky. You and Rihanna…’ It was like, ‘What?’ But you can’t even be sarcastic anymore. It was hilarious though.”
While they’re not an item, the fantasy is not completely dead. “We’re not getting cozy—yet. There is a possibility ’cause she’s just a bad bitch. You never know. That’d be like a freakin’ crazy power couple right now in the world of females.”

Unamfumania mpenzi wako lakini hauko tayari kumkosa, ufanyeje?


Nimemfumania, kaamua kunipotezea
Swali:Niliwahi kuwa na mpenzi wangu lakini siku za hivi karibuni nilimfumania na rafiki yangu laivu wakiwa katika mazingira yanayoonesha kuwa walikuwa wakifanya mapenzi.

Baada ya kumnasa niliumia sana hasa kutokana na maelezo yake ya awali kwamba, angenipenda daima na kamwe asingenisaliti.
Cha ajabu baada ya tukio hilo, kutokana na kukasirishwa nikaamua kumpotezea nikijua angenitafuta na kuniomba msamaha.

Cha ajabu tangu siku hiyo na yeye akawa hana ‘taimu’ na mimi kama mtu ambaye hajuti kwa kitendo alichokifanya na wala hajuti kunikosa. Mimi nampenda sana na nahisi siko tayari kumkosa. Nimtafute nimwambie kuwa yaliyopita nimesamehe tuendelee na uhusiano wetu au nimuache tu? Nisaidie katika hili Anko.

Jibu:Kwanza kabisa kitendo alichofanya huyo mpenzi wako kinaonesha wazi kwamba, hana mapenzi ya dhati na wewe na kama utang’ang’ania kuendelea kuwa naye, ipo siku atakuja kukuumiza zaidi ya hapo.

Kama ni mtu anayekupenda, angeonesha kujutia kosa lake na hapo ningeweza kukushauri umsamehe kisha umpe nafasi nyingine lakini kama kaamua kuuchuna, sioni sababu ya wewe kumtafuta. Muache na hata kama itakuwa ndiyo moja kwa moja amini kwamba huyo hakupangwa kuwa mumeo. Wako yuko njiani.

Wivu wa mpenzi wangu
 unatishia amani ya penzi letu
Swali: Anko Shalua, mpenzi wangu ana wivu sana, inafika wakati naona ni kero kwangu kwani wivu wake umepitiliza. Je, ni kweli wivu una nafasi katika mapenzi?

Je, kuna faida zozote za wivu huu ambao wakati mwingine hutishia amani ya penzi letu? Kama zipo naomba unisaidie ili nijue nisimchukie mpenzi wangu kwani huenda ana nia njema ni tatizo la mimi kutomuelewa tu.
Mohammed R.
Kibamba.

Jibu:Huko nyuma nilishawahi kuandika makala iliyokuwa inahusu wivu na nafasi yake katika mapenzi. Nikasema kwamba, wivu katika uhusiano wa dhati una nafasi kubwa na nikaongeza kuwa, endapo utaingia kwenye uhusiano na mtu na akaonesha kutokuwa na wivu kabisa na wewe, huyo penzi lake kwako litakuwa na walakini.

Hata hivyo, niseme tu kwamba kila kitu kikizidi kiwango kinakuwa na madhara, wazungu wanasema ‘everything too much is harmful’.Wivu nao ukizidi sana ni tatizo na kweli inaweza kuwa sababu ya nyie kuachana. 
Kwa kifupi wivu usio wa kupitiliza una
faida kama zifuatazo;

Kwanza inaonesha kujali. Sote tunaamini pasipo na wivu hata chembe, hapana mapenzi ya dhati. Mpenzi wako anapoonesha wivu kwako anakujulisha ni kiasi gani anakujali na kukupenda na kwamba wewe ni mtu maalum sana kwake.

Jamani, mahali penye mapenzi yasiyo na wivu hata kidogo, panatia shaka! Na mara nyingi majibu yake ni kutokuwa ‘sirias’ katika uhusiano huo au huenda kuna kupitisha muda tu na kwamba labda hakuna ‘future’ na mpenzi huyo au ni dalili ya kuchuja kwa penzi.

Pili, inadhihirisha kwamba anathamini uhusiano wenu. ‘Siyo kama sikuamini mume wangu, bali wivu wangu kwako ni katika kuuthamini uhusiano wetu, mimi na wewe ni umoja wenye thamani kubwa, tusiruhusu kuuchezea nje yetu!  Huu ni mfano wa ujumbe unaoonesha maana na nafasi ya wivu katika uhusiano wa kimapenzi.

Tatu, ni katika kukumbushana. Kauli au matendo yanayoashiria kumuonesha wivu mpenzio yanasaidia kwa kiasi kikubwa kumfanya asijisahau katika jukumu la kulienzi penzi lenu hata akiwa mbali ya upeo wa macho yako.

Nne, ni kujijengea heshima. Kwa namna moja au nyingine, wivu pia huweza kukujengea heshima. Kwa mfano mume mwenye wivu na mkewe hujijengea heshima ya kwamba kweli anamjali na kumpenda mkewe lakini pia anaweka mazingira ya kutosumbuliwa kwa mke wake huyo kumjengea heshima yake kama mke wa mtu.

Tano, inasaidia kubadilisha tabia. Ukiwa na wivu, unaotokana na mavazi tatanishi anayopendelea kuvaa mpenzi wako kwa mfano, huenda ikasaidia kubadili tabia yake.

“Ni kweli umependeza na umetoka ‘chicha’ ile mbaya mpenzi, lakini mh! Naogopa wanaume wakware watakusumbua honey, unaonaje ukavaa simpo tu?” Kama anakupenda huenda akabadilika kidogo na hivyo ‘vivazi vyake.

Niliyoyaeleza hapo juu ni baadhi tu ya faida za wivu.Kwa maana hiyo isifike wakati ukamchukia mpenzi wako kwa kuonesha wivu kwako. Yawezekana anafanya hivyo kwa lengo la kuboresha na si kuharibu uhusiano na  kutokuelewa kwako ndiko kunakufanya uone ni kero.