Thursday

Kanye West Kuachia Ngoma mpya kila Ijumaa


Mtu mzima Kanye West inaonekana ana mizuka ya Christmas wiki 18 kabla ya muda kufika, nasema hivyo kwa sababu hivi karibuni kupitia mtandao wa Twitter ametangaza kuwa atakua anachia ngoma mpya kila siku ya ijumaa mpaka msimu wa X-mas ufike, mchizi ame Tweet mara tatu na inabidi nikusomee zote kama alivyoandika:

" najua wote mnapenda ngoma mpya, so nitakua naachia ngoma moja mpya kila weekend mpaka X-Mas, itakua ngoma yangu ama ya Jay. Tweet ya pili na Tatu ameandika: "naita ni good Friday, wote jueni kwamba kila ijumaa nitakua naachia new Joint kutoka kwenye familia yetu, tunaicheki Game tofauti kabisa.

Its about the Funs,haina kurudi nyuma, Thats why i dropped see me now, it wasn'nt about me it was about the Summer the BBQs e.t.c

Mtu mzima Kanye mwishoni mwa mwaka huu pia natarajia kudondosha Album……mwanzo aliita Good ass Job lakini baadae akaonesha wasiwasi na jina hilo so akasema kuwa bado anafikiria jina la album hiyo.

No comments: