Tuesday
Friday
Oprah “Natamani kufanya shoo kwenye uwanja wa soka”

Presenter maaraufu huko pande za ‘mbelembele’, Oprah Winfrey ‘ame-expressed’ hamu yake ya kufanya shoo yake ya runinga ijulikanayo kama the Oprah Winfrey Show ndani ya dimba (uwanja) kubwa la soka kabla ya kuachana na kazi hiyo.
Mbele ya wadau wa mtandao wa TV Guide, Oprah alichana kuwa yuko kwenye mipango maalum ya kutekeleza azma yake hiyo ya kufanya shoo kwenye uwanja unaomilikiwa na timu ya Chicago Bears wenye uwezo wa kuchukua watazamaji zaidi ya 61,000 kabla ya tarehe ya mwisho ya kufunga kipindi chake hicho kilichoruka kwa miaka 25 ndani ya runinga ya US TV .
“I don’t know if that’s going to happen, lakini nina hamu ya kufanya hilo mbele ya watazamaji 61,000 kabla sijastaafu rasmi kazi hii mwezi septemba mwaka ujao,” alisema Oprah.
Diddy apelekwa mahakamni na mfanya kazi wake wa zamani

Sean "Diddy" Combs jana amefunguliwa kesi ya madai ya doal milioni kumi na mbili katika mahakama ya jijini Newyork. Aliyefungua kesi hiyo na mfanyakazi wake wa zamani, ambae anadai kuwa Diddy alimtimua kazini kutokana na umri wake mkubwa na mahitaji yake ya kutibiwa.
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kinasema kuwa, mama huyo wa kizungu katika file ya kesi hiyo ameandika kuwa ana umri wa miaka 51 na alizinguana na Diddy kwasababu alimwambia anataka kufanya Hip Surgery. Bi Spero alikua Vice President of Management and Publishing wa BAD BOY RECORDS.
Anasema Diddy alianza kwa kumtoa kwenye cheo chake na ilipofika mwezi wa tatu mwaka huu akampa cheo hicho mwanamke mwingine ambae Bi Spero anadai hana skillz kama zake lakini pia ni mdogo kwake kwa umri wa miaka 10-15.
50 CENTS AFUNGA ACCOUNT YA TWITTER ILI KUMALIZIA ALBUM YAKE.

Baada ya kuwa anaandika Tweets za kuwashambulia celebrities, hatimaye Rapper 50 Cents jana ametangaza kuahirisha kutumia Account yake ya Twitter mpaka jumatatu ijayo, kwa kuwa anataka amalizie kuandaa album yake ya 'The Return of the Heartless Monster' ambayo anatarajia kuidondosha hivi karibuni, jamaa ameisifia Album yake kwa kusema itakua Classic.
Fif aliwaandikia wafuatiliaji/followers wake milioni 3,070,000 kuwa : "Ok ladies and gentalmen [sic] I'm writing my new album. I will not be on twitter again till sept 6 This album will be a classic." Mapema wiki hii 50 Cents alitoa taarifa kuhusu album yake, kwa series za tweet na ndipo aliporelease jina la album na siku itakapotoka.
Kwa mujibu wa fif album yake itaingia kwenye mtandao tarehe 6 september
Young Buck kumpeleka 50 Cent mahakamani
Baada ya kuzuiliwa kwa mali zake na TRA ya Marekani IRS, Memba wa zamani wa kundi la G-Unit inaripotiwa kuwa ameamua kutafuta msaada wa Kisheria kutokana na mgogoro wa kimkataba kati yake na 50 Cents, ambae inasemekana bado ana shikilia umiliki wa mkataba kati ya Young Buck na G-unit.
Kwa mujibu wa Nashville City Paper, Young Buck ana mpango wa kudai dola milioni tano, kutokana na na kubaniwa Kumshirikisha na msanii yeyote kwenye ngoma zake, lakini pia mtu mzima kwa kipindi chote alichotemwa na Kundi hilo miaka mitatu iliyopita, Label hiyo haija release ngoma yake yoyote, pamoja na 50 Cents wengine wanaoshtakiwa ni SHA MONEY XL na G-Unit.
Kwa mujibu wa mwanasheria wa Young Buck, kesi hiyo itafunguliwa ndani ya siku 30-60
Kama unakumbuka Young Buck aliwahi kulalamika kuwa 50 Cents anataka yeye afilisike, kwasababu baada ya kumtema kwenye kundi la G-Unit aliendelea kumshikilia kimkataba kwenye label ya G-unit kwa hivyo Young Buck hakuweza kurelease ngoma yoyote ya Kibiashara/Commercial Song nje ya label hiyo, lakini pia kila alipokwenda studio jamaa waliziponda idea zake na alipotaka kuwashirikisha wasanii wengine katika ngoma, 50 alicrush vibaya mno.
Mpaka hivi karibuni IRS walipomtimbia nyumbani kwake na vitu vyake kibao vyenye thamani. http://api.ning.com/files/fW2QiYuodgtrhcXatd81fnTl0-0GOrZhODi9NYD-4itOYr5Pb8VLix*gCXkqgqHr3GS0dPUMuAmuf19lIncOcgYtDiidprWX/young_buck_4.jpg
Kwa mujibu wa Nashville City Paper, Young Buck ana mpango wa kudai dola milioni tano, kutokana na na kubaniwa Kumshirikisha na msanii yeyote kwenye ngoma zake, lakini pia mtu mzima kwa kipindi chote alichotemwa na Kundi hilo miaka mitatu iliyopita, Label hiyo haija release ngoma yake yoyote, pamoja na 50 Cents wengine wanaoshtakiwa ni SHA MONEY XL na G-Unit.
Kwa mujibu wa mwanasheria wa Young Buck, kesi hiyo itafunguliwa ndani ya siku 30-60
Kama unakumbuka Young Buck aliwahi kulalamika kuwa 50 Cents anataka yeye afilisike, kwasababu baada ya kumtema kwenye kundi la G-Unit aliendelea kumshikilia kimkataba kwenye label ya G-unit kwa hivyo Young Buck hakuweza kurelease ngoma yoyote ya Kibiashara/Commercial Song nje ya label hiyo, lakini pia kila alipokwenda studio jamaa waliziponda idea zake na alipotaka kuwashirikisha wasanii wengine katika ngoma, 50 alicrush vibaya mno.
Mpaka hivi karibuni IRS walipomtimbia nyumbani kwake na vitu vyake kibao vyenye thamani. http://api.ning.com/files/fW2QiYuodgtrhcXatd81fnTl0-0GOrZhODi9NYD-4itOYr5Pb8VLix*gCXkqgqHr3GS0dPUMuAmuf19lIncOcgYtDiidprWX/young_buck_4.jpg
ALI KIBA ATEMANA NA MENEJA WAKE WA SIKU NYINGI (G-Lover)

Hivi karibuni tulipata taarifa kuwa Msanii maarufu wa muziki wa Kizazi Kipya Ali kiba, ametemana na Label ya G-Records na kuamua kufanya kazi kimpango wake, Tulimtafuta Ali Kiba ili athibitishe taarifa hizi….na kumuuliza je taarifa hizo ni za kweli: ALI KIBA alithibitisha hilo, na kusema ameamua kumpunguazia majukumu bosi wake wa zamani/G-Lover kwani anahisi yupo busy sana na kazi zake za kuongoza kituoni flani cha radio kilichopo visiwani zanzibar, nilitaka kufahamu amejiandaaje na safari ya kimuziki huku akiwa mbali na mtu aliyemuongoza kuanzia under ground level mpaka hapo alipo? ali kiba alijibu kuwa ameshazoea kwani ni siku nyingi alishaanza kujiongoza kwa msaada wa kidogo wa g-lover.
haikuishia hapo, tuliamua kumtafuta mtu mzima G naye akathibitisha hilo, na kusema kuwa hawana ugomvi wowote na Kiba, kilichopo wakati huu kama kiba atataka kurekodi katika studio yake basi atatakiwa kulipia kama wasanii wengine.
Thursday
Wednesday
Monday
50 Cents amdiss Mitchell Obama

Watu kibao wamecomment juu Twiter alizokua akituma 50 Cents jana, katika Twiter hizo Fif amemdiss First lady wa Marekani Mitchell Obama, Nicole Bitchie, Rick Ross na watu wengine. Kuna mtu ameandika kuwa Fif anataka Attention kutoka kwa watu na vyombo vya habari, kuna wanaoamini kuwa mchizi amedata, lakini wengine hawaamini kuwa ni 50 aliyendika Tweet hizo yaani huenda kuna mtu amehack account yake ya Twitter so anaitumia vibaya ili kumchafua 50 Cents aonekane hana maana kwa Funs
Katika moja ya Tweet, 50 Cents ameandika “ look Mitchelle Obama need one thug in her life …..ck that come here Girl you can be my Mentor”
Thursday
DIDDY AWASHUKIA RAPPERS WANAOMTUHUMU KWA UTAPELI

Hivi karibuni mtu mzima Puff amekanusha uvumi uliokua umeenea kwa siku nyingi kuwa aliwapunja mkwanja na kuwamistreat wasanii waliopitia katika Label yake ya BAD BOYS, kwa miaka mingi radio mbao zilikua zikeneza taarifa kuwa BAD BOY'S CEO anawadhulum wasanii wake na taarifa hizi zilikua zikipata nguvu hasa inapotokea wasanii kuhama label hiyo, wengi wao hawakuondoka kimya kimya kwani kulikua na kurushiana maneno ya hapa na pale kati yao na Diddy, kati yao ni The Lox, Mase na wengineo.
Kuweka sawa uvumi huo, Diddy ametumia kurasa za VIBE MAGAZINE ya mwezi huu na ndani yake amefunguka ya moyoni.
Diddy amesema hajawahi kufanya kitendo chochote kibaya kwa Wasanii wote aliowatoa, akaongeza kuwa yeye asibebeshwe lawama kwa wasanii ambao hawakuwa na mafanikio ya muda mrefu, jamaa anasema"itakua unanijengea picha mabayo siyo, kwa mtu kama mimi niliyekuzwa kwa misingi ya kufanya kazi kwa kujituma na kula jasho langu, na si kutumia au kunyonya jasho la mtu mwingine, siku zote najaribu kusaidia watu lakini watu hawaifahamu Game vizuri, kwani msanii anakua na uhai mfupi sana kimuziki
Diddy anaendelea kusema kuwa: haiwezekani mimi kuwa Jay- Z, LL ama Nas, yaani hiyo haitowezekana, hao hawafikii hata asilimia moja ya marapper wote, kama utamwangalia msanii yeyote aliyekua Ruff Ryders, wako wapi? kama utachek wasanii waliokuwepo Def Jam kipindi kile Tunaanza wako wapi? waliokuwepo Roca-A-Fella, Jive wako wapi? si kwamba kuna kitu walikosea, cha msingi Msanii anakua na miaka minne mpaka mitano ya Kuwepo kwenye Game, hicho ndo kitu nilichotaka kusema siku nyingi.
Kanye West Kuachia Ngoma mpya kila Ijumaa

Mtu mzima Kanye West inaonekana ana mizuka ya Christmas wiki 18 kabla ya muda kufika, nasema hivyo kwa sababu hivi karibuni kupitia mtandao wa Twitter ametangaza kuwa atakua anachia ngoma mpya kila siku ya ijumaa mpaka msimu wa X-mas ufike, mchizi ame Tweet mara tatu na inabidi nikusomee zote kama alivyoandika:
" najua wote mnapenda ngoma mpya, so nitakua naachia ngoma moja mpya kila weekend mpaka X-Mas, itakua ngoma yangu ama ya Jay. Tweet ya pili na Tatu ameandika: "naita ni good Friday, wote jueni kwamba kila ijumaa nitakua naachia new Joint kutoka kwenye familia yetu, tunaicheki Game tofauti kabisa.
Its about the Funs,haina kurudi nyuma, Thats why i dropped see me now, it wasn'nt about me it was about the Summer the BBQs e.t.c
Mtu mzima Kanye mwishoni mwa mwaka huu pia natarajia kudondosha Album……mwanzo aliita Good ass Job lakini baadae akaonesha wasiwasi na jina hilo so akasema kuwa bado anafikiria jina la album hiyo.
Saturday
VITU VYA KUTUSAIDIA KUONGEZA FURAHA KATIKA MAISHA YETU

1.Kujitambua na kujipenda wewe mwenyewe
2.Kuwa rafiki mzuri kwa mwenzi wako mume/mke,watoto,wafanyakazi wenzako,wazazi wako,ndugu zako,wateja wako n.k
3.Kama unafanya kazi ipende kazi yako.
4.Jivunie ulichonacho katika maisha kwa sasa na usiwe mtu wa kulalamika.Hesabu baraka zako pia.
5.Tujifunze kusamehe, tuishi bila vinyongo6.Jifurahishe mwenyewe…kwa kusikiliza muziki kama unapenda muziki ,movies,michezo mbalimbali kama mpenzi wa michezo,mazoezi n.k
7.Ijali afya yako kwa kufanya vipimo pindi unapojisikia afya yako haiko sawa,usiipuuze ili uendelee kuwa na afya njema na mwenye furaha pia.Ukiwa na afya njema utaweza kufanya hayo yaliyoorodheshwa mwanzo vyema.
8.Dini….ishike dini yako inasaidia kukupeleka katika njia iliyo sawa.
Ni baadhi ya mambo niliyojifunza nikaona sio mbaya kuweka hapa kwenye ubao wetu maana kila siku tunajifunza.
Tuesday
UNAPOMKUTA RAFIKI YAKO KIPENZI CHUMBANI KWAKO AKIWA NA MPENZI WAKO UTAFANYAJE?
Hebu tujadiliane hili; Unaishi jijini Dar es Salaam, unaye mpenzi wako ambaye unampenda sana. Huyo alikuwa akiishi mkoani Mbeya, lakini amekuja Dar kama wewe kutafuta maisha. Mkakutana na kupendana, baadaye mkaamua kuanza kuishi pamoja.
Lakini unaye rafiki yako kipenzi, ambaye unamuamini na kumuheshimu sana. Mara nyingi amekuwa akija kukutembelea nyumbani jioni na mnashiriki pamoja chakula cha usiku mara nyingi. Siku moja ukiwa ofisini, unagundua kwamba kuna kitu ulikishau nyumbani, unaamua kurudi kwa ghafla.
Ile unaingia sebuleni, unashangaa kukuta nguo za mwanaume pamoja na viatu, ulipoenda chumbani, unamkuta mpenzi wako yupo utupu na rafiki yako, wakiwa katika maandalizi ya kufanya mapenzi.
Pambanua ubongo wako. Kama ni wewe utachukua hatua gani? Tujadiliane.href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiEvIyewWAPj7_OnDSHfwtjHjAbFi9PSEg6-h794f714mHRtu8h9PSm0HfJWRJ1tVz1g8QvjvyiQGAqviKHQ6QARck0tZi9GbKX_lNVCgOg1coUHH0fy-VYTOQCiITLQyx0gsE3b4-eyd4/s1600/mahabaa.jpg">
Lakini unaye rafiki yako kipenzi, ambaye unamuamini na kumuheshimu sana. Mara nyingi amekuwa akija kukutembelea nyumbani jioni na mnashiriki pamoja chakula cha usiku mara nyingi. Siku moja ukiwa ofisini, unagundua kwamba kuna kitu ulikishau nyumbani, unaamua kurudi kwa ghafla.
Ile unaingia sebuleni, unashangaa kukuta nguo za mwanaume pamoja na viatu, ulipoenda chumbani, unamkuta mpenzi wako yupo utupu na rafiki yako, wakiwa katika maandalizi ya kufanya mapenzi.
Pambanua ubongo wako. Kama ni wewe utachukua hatua gani? Tujadiliane.href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiEvIyewWAPj7_OnDSHfwtjHjAbFi9PSEg6-h794f714mHRtu8h9PSm0HfJWRJ1tVz1g8QvjvyiQGAqviKHQ6QARck0tZi9GbKX_lNVCgOg1coUHH0fy-VYTOQCiITLQyx0gsE3b4-eyd4/s1600/mahabaa.jpg">
MPENZI WAKO ANAPOACHA KUJIBU SMS ZAKO, ANAMAANISHA NINI?

Hi, marafiki! Muda kidogo nilikuwa sipo, mambo yanabana sana, lakini leo nimeamua kurudi. Naanza na hili, mpenzi wako anapoacha kujibu meseji zako unamchukuliaje?
Iko hivi, wapenzi wengi wanapenda sana kupewa nafasi ya kwanza kwa kila kitu, hakuna ubishi wapo sahihi na wana haki ya msingi kabisa!
Hebu vuta picha, fikiria kwa makini, unaye mpenzi wako, ni mchana upo kazini, upo busy sana, lakini ukakumbuka kuwasiliana naye japo kwa sms ya kichokozi tu; "Hi sweet, are u ok? Umekula nini leo? Luv u..." ukaituma kwa mwenzi wako.
Tena sikia, baada ya mpenzi kutuma sms ya love kama hiyo ambayo hasa inakuwa inamu-wish mlo mwema, anakuwa anasubiri majibu yake kwa hamu kubwa sana, lakini giiiii....hakuna majibu wala ma-answer.
Unadhani nini kinasababisha hili kutokea? Na kama ungekuwa wewe umetuma sms kama hii kwa mwenzi wako, halafu hajajibu, unachukuliaje?
Weka maoni yako, halafu nitakuja na tip zangu, nitakuwambia nini husababisha na nini cha kufanya ili kuweza kumjua mwenzi wa aina hii.
Karibuni tuchangie...
Thursday

Maisha jinsi yalivyo sasa hivi hatuhisi kwamba mtoto wa kiume anatakiwa kuandaliwa kuishi na mtoto wa kike wa kisasa?.Zamani mtoto wa kike alikuwa alikuwa anaandaliwa mapema nyumbani namna ya kuwa mke wa mtu na majukumu ya kifamilia.Lakini kwa sasa mtoto wa kike anahimizwa kuhusu suala la shule kwanza,kazi nzuri,na mwisho kabisa ndio kuwa mke mtarajiwa.
Msichana huyu anapokuja kukutana na mtoto wa kiume kuanzisha familia wote watakuwa na sauti,mwanaume akiongea ujinga mwanamke atamkosoa kwamba hapana hapo sio hivyo ni hivi.Na pia kwa muda kumekuwepo na ile hali ya wanaume kuogopa wanawake wasomi kwa sababu wanasema wanajifanya wajuaji.Ila kwa sasa imefika wakati mwanaume pia atambue kuwa kuwa na mwanamke msomi sio kukaliwa kichwani hapo ndipo tunahitaji kumuandaa namna ya kuishi na mtoto wa kike wa kisasa...shule kwanza,kazi,halafu ndio kuishi na mume.
INAPOTOKEA UMEALIKWA CHAKULA NYUMBANI KWA NDUGU,RAFIKI AU JAMAA ZINGATIA YAFUATAYO.

1.Usitoe comment mbaya kuhusu chakula unachokula maana kuna mtu amejiandaa sana kupika hicho chakula .
2.Usiongee ukiwa na chakula mdomoni
3.Onyesha kufurahia chakula
4.Kama unahitaji kitu kama chumvi,bakuli ya mboga au chochote na haufikii omba usogezewe na sikupitisha mikono kwa mwenzako ambae tayari anakula.
5.Usitoe kitu mdomoni ukakiweka juu ya meza,kama ni mfupa toa mdomoni weka pembeni kwenye sahani yako.
6.Usibeue/kutoa gas kwa sauti...
7.Ukialikwa mlo kwa rafiki,ndugu au jamaa baada ya mlo shukuru na ueleze ni namna gani umefurahia chakula ulichokula unaweza ukasifu mboga kwa mfano labda "samaki alikuwa mtamu kapikwaje maana kama sijawahi kula samaki.."
na mengineyo tunaweza kukumbushana.
Wednesday
ALIYEJIFANYA MENEJA WA DRAKE KIZIMBANI

Jamaa mmoja kutoka Milwaukee, Wisconsin nchini marekani, anashtakiwa kwa kujipatia pesa kinyume cha sheria, na hiyo ni baada ya kujifanya yeye ni manager wa Lil Wayne na Drake. Kwa mujibu Document za shtaka lililofunguliwa na kampuni Eagles Intertainment Inc, inasemekana mshtakiwa Joey Turner Jr. a.k.a Jo Flowrushus, alijifanya yeye ni Cortez Bryant ambae ni meneja wa Drake so ana mamlaka ya kusimamia booking zote za Drake.
Joey Turner aliwasiliana na Eagle Intertainment kwamba Drake anataka Dola elfu 90 kwa ajili ya show, na kampuni hiyo ilitoa Dola elfu tisa kama Deposit ya show hiyo ambayo ilitakiwa kufanyika tarehe moja Septemba, katika miji wa Milwaukee Wisconsin. Kesi ipo mahakamani, na Kampuni ya Eagle Intertainment inataka ipewe
Na mtuhumiwa dola elfu 27, kufidia gharama za kumlipa mwanasheria na gharama ya kufungua kesi hiyo mahakamani. Kampuni inayohusika na bookings za Drake ni International Creative Management pekee.
Saturday

Like a finely-crafted automobile, Nelly is taking the necessary steps to ensure his new album is ready for the road. He’s a**embled today’s hottest producers, a fleet of high-profile collaborators, and polishing it all off with a fall release date.Universal Motown will unveil the St. Louis rapper’s sixth studio album 5.0 on November 16. The club jam “Tippin’ in da Club,” produced by Dutch, sets the tone for the high-octane record. The song has already gone to urban radio, while the second single “Just a Dream” has been serviced to Top 40 stations. The latter was produced by Jim Jonsin and Rico Love.
“It’s a lot of things,” Nelly told Rap-Up.com about the album title’s significance. “It’s also my fifth drop date. It’s just the energy of it all. [The Mustang] 5.0 was always one of my dream cars. As soon as I had enough money to buy one of these mothaf***ers, they stopped making these s****.”
The follow-up to 2008’s Bra** Knuckles is set to feature production from Dr. Luke, Polow Da Don, Don Vito, and Smash Factory, and guest spots from T.I., Akon, Diddy, and Kelly Rowland on “Gone,” the sequel to their 2006 smash “Dilemma.”
But he’s not trying to repeat history with his latest collaboration. “Let’s be honest, we can’t do ‘Dilemma’ over again. That’s etched in time,” he said. “It is what it is; that song was for that point in time.”
Sunday
Album Cover ya Fabolous yatoka kwenye mtandao


Album Cover ya mtu mzima Fabolous, imetoka kwenye mtandao, na ina tarajiwa kutoka mapema mwezi wanane tarehe 31, itaitwa There Is No Competition 2: The Grieving Music Mixtape. katika Cover ya album hiyo mtu mzima Fabulous ametupia nguo nyeusi miwani myeusi yaani full black kasoro saa na bracelate aliyovaa ndo vina rangi ya Gold, jamaa ameshow respect kwa wafu kwani nyuma yake linaonekana jeneza likiwa limefunguliwa na tukio hilo lote background yake ni jumba lililojengwa kwa style ya kiroman, and adefinatly this must be a church, ndani ya Mix Tape hii mpya mtu mzima Fabulous amechukua ngoma sita kutoka kwenye mixtape iliyopita inaitwa Funeral Service Mixtape na ngoma 2 ni mpya zinaitwa “Lights Out” and “Girl You Be Killin’ xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Kanye West anakuna kichwa kupata jina album baada ya kulikacha jina la Good ass Job Kanye west halitaki jina la Good ass Job kuwa jina la album yake anayotarajia kuitoa mwezi wa tisa mwaka huu, jamaa anasema anakuna kichwa ili aweze kupata jina jipya Jana Kanye West alifungua Twiter page mpya, na alitumia muda wake kujibu maswali ya Funs wake, ambapo walimuuliza ataipa jina gani album yake? jamaa akajibu Good ass Job si jina la album yangu, nina kuchagua kati ya majina mawili niliyopata, rapa hyo hakuweza kutaja ni majina gani hayo..
Kama unakumbuka mchizi aliwahi kusema kuwa ataendelea kutumia theme za kicollege kama kawaida ya majina ya album zake, kama The College Dropout, Late Registration, and Graduation, na Good ass Job ilikua iwe ya mwisho kwenye series/ mpangilo huo.
Jamaa angenipa chance ya kumchagulia jina la album hii ningemwambia kabla ya Good ass Job atumie jina la Job less hivi au design yoyote ya jina la kumaanisha yaani baada ya Graduation ni kijiweni kibongo bongo
Album ya tano ya mtu mzima Kanye inatarajiwa kutoka September 14
Nicki Minaj akanusha album yake Kuleak

Young Money member Nicky Minaj amewahakikishia Rap Fans kuwa ngoma iliyoleak kwenye Internet kuwa haipo kwenye album yake anayotarajia kuiachia mwishoni mwa mwaka huu. Akiwaandikia followers wake wanaokadiriwa kufikia milioni moja katika mtandao wa Twitter, jana mchana Nicki Minaj alikanusha ku leak kwa album hiyo. Amesema ngoma iliyo leak ni ya zamani. Pia mwanadada huyo akasema Video ya ngoma yake itakuwa kwenye iTunes hivi karibuni. Kama unakumbuka Mshkaji wake wa karibu Drake aliwahi kupatwa na balaa la kuleak kwa album yake ya Thank me Later, na kitu kama hicho huweza kusababisha mauzo ya album husika kutokufanya vizuri wakati itakapotoka. Nicky anatarajia kutoa album yake Novemba 23 mwaka huu, bado hajaipa jina na wakati watu wanasubiri atoe jina basi waiite Nicki Minaj: The album.
Jennifer Lopez apata deal ya kuwa judge ‘American Idol’

Waswahili wanasema mwenye nacho huongezewa, Ana igiza, ana imba, ana dance vizuri mno, vile vile ni mjasiriamali, mpaka hapo unajua namzungumzia Nani? Namzungumzia mwanadada Jennifer Lopez uanweza muita J-Lo, pamoja na kuweza kumudu mambo hayo yote niliyoyataja, hivi karibuni amesign deal ingine kali ya kuwa Judge katika show kubwa ya TV nchini marekani, inaitwa ‘American Idol’.
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kinaripoti kuwa J-Lo amesign mchongo huo wa kuwa Judge katika Season ya kumi ya kipindi hicho ambapo anachukua nafasi ya Ellen DeGeneres aliyetangaza kutema mzigo huo jana. Jenifer Lopez atakuwa katika nafasi hiyo ya U judge pamoja na Randy Jackson, inasemekana waandaaji walianza kumfukuzia J-Lo miezi kibao iliyopita lakini hawakufikia maafikiano mpaka wiki hii.
‘American Idol’ ni kipindi cha Luninga ambacho kinakuwa kinasaka Vipaji vya uimbaji, na tayari kupitia kipindi hicho kuna baadhi ya wasanii masuper star wametoka kupitia kipindi hicho.Kwa wakati huu J-Lo anajiandaa kuachia Album yake inayoitwa Love, ambayo ipo chini ya Island Def Jam.
Mail kutoka kwa BABA LEVO. "MAMA LEVO ANANIFANYA NIJUTE KUJIITA BABA LEVO"
Jana nilipata mail kutoka kwa msanii wa bongo fleva anayewakilisha kundi la Wanaume Halisi anajulikana kwa jina la BABA LEVO na hebu tuipitie wote.
mambo vp MZAZI?
swala hili lipo hivi. ujue mwanzo nilikuwa naona ni falaja kwa mtoto wangu LEVO kama ntatumia jina la BABA LEVO coz mwanangu akikua ataona ni jinsi gani ninavyo mpenda mwanangu.
lakini kwa sasa baada ya kuachana na mama yake. {MAMA LEVO} imekuwa tofauti kidogo coz juzi nilikuwa na show kadhaa home kwetu kigoma so wakati nipo huko ndo nikawa napata story kibao za MAMA LEVO coz amekuwa maarufu huko kwetu utazani na yeye anaimba.
na bora hata angekuwa anafanya mambo mazuri ingekuwa sio mbaya lakini daaaa!!! yaaani amefungulia geti coz hata washikaji ambao walikuwa wanamuogopa zamani coz alikuwa na mimi leo hii wamekuwa wanamnywesha mapombe wanalalanae yaani ameharibu CV yangu yoote coz kila anapopita watu wanaonyeshana huyu ndo MAMA LEVO aliyezaa na BABA LEVO ni muhuni yaaani kawa kama mtu aliyetupiwa jini la ngono sijui.
nimejiskia vibaya sana coz wakimsema yeye wananisema na mimi kwa vile hili jina ninalo litumia BABA LEVO na yeye ndo MAMA LEVO.
wanawake bana.
KAZI NJEMA MZAZI WANGU
Ni hayo tu ndugu zangu...nasubiri comments zenu je mnamshauri nini Baba Levo.
Thursday
KUTANA NA WATU WAPYA,INASAIDIA.

Kwa walio wengi kukutana na kupata nafasi ya kujua watu wapya ni raha sana.Ila kuna wengine huona ni kupoteza muda,hujisikia hayuko huru hasa kama huyo mtu anamuuliza maswali au kumuongelesha.Ila kuna faida kubwa ya wewe kujipa nafasi ya kukutana na kufahamiana na watu wapya mara kwa mara.
Urafiki..
· Kukutana na watu wapya kunaweza kukuongezea marafiki.Hali ambayo inakusaidia kiakili na kimwili .Mtu mpya anaweza kukufundisha kitu kipya ambacho wewe ulikuwa hujui,kukupeleka mahali ulikuwa hujawahi kwenda,kula chakula ambacho ulikuwa hujawahi kula n.k
Kujifunza
· Kukutana na watu wapya kunakusaidia kujifunza vitu vipya.Ukikutana na mtu mpya utajifunza vitu vipya,mbinu mpya za kufanya jambo fulani,lugha mpya,au kuweza kukupa njia ya kutatua tatizo Fulani kwenye maisha.Ukichukua muda kumjua mtu inaweza kukusaidia kuongeza wigo wako wa ufahamu na kujua mbinu mpya katika maisha.
Uelewa
· Kukutana na watu wapya kunakupa nafasi ya kuelewa tamaduni tofautitofauti imani,wanavyoishi,wanachothamini pia.Unaweza jifunza mfumo wao wa kisiasa,makabila na dini.
Kikazi/kibiashara
· Ukikutana na watu wapya unaweza kupanua wigo wako wa kibiashara kwa kupata connections mbalimbali .Pia hakikisha unangalia huyu mtu mpya anaweza kufanya nini katika kazi yako na wewe kufanikiwa, na hata wewe unaweza kumfanyia nini pia kwake.
Kujiamini na kujisikia vizuri
· Kukutana na watu wapya kunakusaidia kujisikia vizuri wewe mwenyewe.Ikitokea mtu mpya anaonekana kuvutiwa na wewe na maisha yako kiujumla unasikia kabisa kuna kitu kinakupa faraja.Kama ulikuwa upo katika wakati unajihisi huna thamani huwezi jua mtu mtu anaweza kukufanya uanze kuona thamani yako.
Kutana na karibisha watu wapya labda kwenye hafla mbalimbali za kiofisi na kibiashara,mikutano,kwenye harusi,sherehe,hata msibani,kwenye stand,kwenye burudani mbalimbali..yaani inaweza tokea popote pale.
MUHIMU
Usiweke sura ngumu tabasamu,tabasamu lina nguvu sana hata kama hujaongea chochote inamfanya mtu asiogope kuanzisha maongezi na wewe,inasaidia sana hasa kama upo mahali kuna mkusanyiko wa watu kama kwenye mikutano,sharehe,starehe,na haumjui yoyote.Lakini ukiweka sura ngumu utashangaa unarudi nyumbani hujamfahamu yoyote maana mtu anakutazama anaona mmh huyu si mtu rahisi kuanzisha urafiki nae.
I Got 99 Problems & Your Germs Aint One: Jay-Z Takes Private Toilet With Him Everywhere

Rockers Kasabian were amazed to learn Jay-Z takes his own toilet roll to festivals. Jay-Z takes his own toilet roll everywhere with him, The '99 Problems' hitmaker stunned fellow T in the Park performers Kasabian at the Scottish festival recently when they spotted him backstage, and the 'Fire' rockers now claim they will only feel famous when they get to the same level of access to luxury items.
Kasabian singer Tom Meighan revealed: "The reason Kasabian aren't as big as Jay-Z yet? We need to have our own festival toilet paper "I noticed at T that he had a huge circus around him, his own toilet and his own toilet paper. "That's what we're aiming for next. Our own loo roll and then we'll know we're massive."
Jay-Z - who caused controversy when he became the first hip-hop artist to headline the world-famous Glastonbury festival in 2008 - has previously admitted he finds performing at multi-artist shows a "challenge."
He said: "At festivals, some people are there to see you, some people are there to see the act before you, some people have no idea who you are. So how do you take that audience of all those different people and make them focus on one point? That's the challenge."
Chris Brown & Usher Unite At ‘Reggae Sumfest' In Jamaica & Shut It Down [Pics Inside]

While Chris Brown has always made it clear that he looks to Michael Jackson for inspiration, there are nearly as many parallels to be made between Brown and Usher. And last weekend, Breezy joined Usher on stage during the Reggae SumFest 2010 in Montego Bay, Jamaica. The duo wowed audiences in the concluding night of the festival.
Brown had already performed his own set on Friday, tearing through songs like "Run It" and "Forever" and showing off his formidable dancing skills. But it was his surprise appearance during Usher's set the following day that really set the crowd off. According to TheChrisBrownBlog.com, the two were also joined onstage by Elephant Man and later engaged in a dance-off.
Video footage from the performance had not surfaced online at press time, but photos reveal the two singing together and even showing some affection with an onstage hug. Brown took to Twitter Saturday to thank Jamaica. "I wanna thank you Jamaica for your wonderful embrace last night at the show," he wrote. "Next time well do passa passa ... lmao ... (oh hell naw). Love ya!"
Later on Saturday, he tweeted about performing with Usher. "Me and Usher killin Jamaica right now," he wrote.
When Chris burst on the music scene five years ago, he was overcome with excitement when meeting Usher. "To see him face-to-face, I was like, 'OK, Chris, it's gonna be all right, just chill out right quick. You about to do the song, man, don't be no punk,' " Brown told MTV News about recording a song that was later featured in Usher's 2005 film "In the Mix."
CONCERT YA RAPPER NELLY YAWEKEWA MIZENGWE MAREKANI

Show ya kwanza ya Rap iliyopangwa kufanyika katika mji mdogo wa Branson, Missouri nchini marekani imeingia kwenye utata na maofisa wa mji huo. promota wa Concert hiyo Paul Dunn alitaka show hiyo ipigwe katika sehemu ya Parking ya ukumbi wa The Grand Palace kutokana na ukumbi huo kufanyiwa matengenezo kwa ndani. Parking hiyo inauwezo wa kuingiza watu 6000 wakati ndani ya ukumbi huo kunaweza kuingia watu 4000.
kwa mijibu wa chanzo chetu cha habari kinasema kuwa mkurugenzi wa mipango miji wa Missouri amechomoa ombi la waandaaji wa Concert hiyo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo makelele, Parking, na udhibiti wa watu watakao kuwepo siku hiyo. Mkurugenzi huyo pia amelalamika kuwa waandaaji wa Concert hiyo wanaendelea kupromote kuwa mtu mzima Nelly atapanda katika stage tarehe 21 August na pia tayari wameanza kuuza ticket za onyesho, huku wakitambua bado makubaliano hayajafikiwa.
Waandaaji wa Concert wamesema wanashangaa kuulizwa maombi mapya wakati tangu awali walishapeleka maombi, jamaa wanampango wa kukata rufaa kwa board ya jiji. Rufaa ya waandaji itaambatana na vielelezo vya mpangilio wa ulinzi utakavyo kuwa siku hiyo, pamoja na Documents zenye Signature za majirani wa eneo husika, wakithibitisha kuwa wao majirani wamebariki Concert hiyo kufanyika Branson.
inasemekana concert hiyo itaingizia mji wa Branson mapato ya dola za kimarekani laki tano.
Inawezekana uongozi wa mji huo unabana mchongo kwa sababu za kihistoria kwani mji wa Branson ni mji flani uliopoza na pia kipindi cha nyuma asilimia kubwa ya wakazi wake walikuwa ni wapenzi wa Country Music, hata wakongwe wa mziki wa Country nchini marekani kama Kenny Rogers, Wyne Newton na Pat Boone wanaishi Branson.( Yaani pamoja na muziki wa Hip Hop kuanza miaka mingi nchini marekani lakini wakazi wa mji wa Branson hawajawahi kushuhudia mwanamuziki wa Hip Hop akikanyaga jukwaa lao hata siku moja) Aiseeeee.... Dar es salaam wamekuja Rapper wangapi kutoka nchini marekani? Jiulize?
hata sisi tunawashinda Branson, na huku ni Thousands of miles....
Kwa mujibu wa waandaaji wa Concert tayari mashabiki elfu tatu wamekwisha nunua Ticket ili Kumshuhudia Mtu mzima Nelly na kundi lake la Saint Lunatics wakishusha swager za Hip Hop kwa mara ya kwanza ndani ya mji wa Branson
Wyclef Cleaf Jean Akanusha Kuwania Urais Haiti

Wyclef Jean amekanusha uvumi uliokuwa ukimhusisha na kugombea uraisi nchi Haiti, Hivi karibuni sehemu mbalimbali ulimwenguni hasa nchini marekani na Haiti, kulienea Taarifa za kuwa Wyclef Jean anajipanga kushiriki katika Uchaguzi unaotarajiwa kufanyika nchini Haiti mapema mwezi Novemba mwaka huu. wakati akifanya mahojiano na mwandishi mmoja hivi karibuni ambapo alitakiwa kueleza ana nia ya kuwania urais.
Wyclef alijibu kama ifuatvyo: " kama ningekua nimeamua kugombea ningekuambia lakini ninachoweza kusema sasa hivi ni Nooo"
Pamoja na Wyclef kukanusha uvumi huo, lakini kuna taarifa zinasema mtu mzima yupo nondo vibaya mno, na tayari amepanga Vichwa vikali vya wasomi ambapo kazi yao ni kumshauri nini cha kufanya wakati wa Kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa Raisi wa Haiti. Wiki ya kwanza ya mwezi wa ujao wa nane ndo kila kitu kitajulikana kwani ndo itakuwa Deadline ama wiki ya mwisho ya kuchuka fomu za kuwania urais so tutajua Kama Wyclef mtoto wa Jean kama atagombea ama hatagombea U president katika Taifa hilo maskini. coz akienda tu kuchukua fomu au kurudisha, Paparazi wanamsubiri na Camera zao.
Kupitia Taasisi yake ya misaada, Wyclef amewahi kusimamia uchangiaji wa Dola milioni kumi za kimarekani kwa ajili ya kusaidia wahanga wa Tetemeko la ardhi nchini Haiti, Tetemeko ambalo lilipelekea vifo vya watu zaidi ya laki tatu na kuacha mamilioni ya watu wakiwa hawana makazi.
So hiko ni kigezo cha watu kumpatia kura za kutosha jamaa.
Sipati Picha Mr. President Wyclef Jean pale kati ameapishwa, sijui ataacha music? ajja jja jja jja jjaaa.....
Tags: Akanusha, Cleaf, Haiti, Jean, Kuwania, Urais, Wyclef
T.I. Says Prison Took Him Off His Positive Path "It Did Make Me Worse In A Sense"

Almost immediately after he finished a jail bid for gun charges in March, T.I. set out to reclaim his status as a hip-hop king — hitting the mixtape circuit and huddling in the studio with Lady Gaga and Swizz Beatz. But that doesn't mean jail wasn't a serious setback. "It did make me worse in a sense. ... Putting me in prison took me off [a positive] path a little bit, and now I'm working to get back on that path — or at least back on the path to the extent that I was before I went in," T.I. told Complex magazine. Before heading to jail, T.I. was serving part of his sentence by counseling at-risk kids and notched over 200 speaking engagements warning young people about violence on the MTV show "Road to Redemption."
T.I., who is on the cover of the magazine's August/September issue, says that the jail atmosphere definitely took its toll. "I lost a little bit of my positive focus during that period of incarceration. Being in that environment and having those daily surroundings, it's going to affect you."
One result was that he actually tuned out when it came to music. "I didn't listen much to records when I was in there. Music is what I do every day. That made me more homesick than anything," he said. Instead, T.I. logged lots of TV hours to pass the time. "I watched series like 'Sons of Anarchy.' I'm a fan. It's another form of 'The Sopranos' to me. I watched football and ESPN." But, the most popular show on the cellblock — "True Blood" — held no appeal for him.
"I couldn't really [watch it]. They got into that sh-- heavy," T.I. said. "The whole prison damn near shut down. Everybody left off the yard, like, ' "True Blood" coming on!' They went crazy for it — there's a bunch of sex in it, so they were tuning in for that."
T.I.'s King Uncaged drops in September
Eminem n Rihanna On The Set Of "Love The Way You Lie"

Here’s the first look from the set of Eminem and Rihanna’s new video “Love The Way You Lie”. The video was shot in L.A. and contrary to reports does not feature Megan Fox. For those keeping score, the song occupies the number two slot on Billboard while the album Recovery remains at number one for the fourth week.
Subscribe to:
Posts (Atom)
















