Tuesday

BREAKING NEWS:SAJUKI KILOWOKO AMEFARIKI R.I.P

         

MWIGIZAJI na mtayarishaji wa filamu  Juma kilowoko ‘Sajuki’ amefariki dunia asubuhi muda wa saa moja kasoro akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa amelazwa akisubiri kusubiri kusafiri kwenda nchni Indi kwa matibabu.

 


Taarifa za mazishi bado familia inashughulikia na ikiwa tayari tutaujulisha umma.... 
Sajuki alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa mgongo na saratani ya ngozi....
 Bwana ametoa bwana ametwaha jina la bwana lihimidiwe. Amina
                                  
                                                            sajuki na mkewe wastara.

No comments: