Monday

AJALI MBAYA YA BUS NA LORI USO KWA USO.

                                              Angalia gari lilivyoharibika utadhani limepakiwa miaka mingi
                                              kumbe masikini wa Mungu ajali mwisho wa mwaka.
                                      Majeruhi wakiwa hospitali kupatiwa matibabu
                                       huku wakitoa maelezo kuhusiana na ajali.

                             Lori aina ya Fuso T466 BTT likiwa pembeni ya barabara
                              inasemekana dreva wake alikimbia baada ya ajali.
                                        magari yakiwa pembeni ya barabara yameacha njia yote.
                                     mtoto mdogo ambaye jina lake halikupatikana akieleza
                                     ajali ilivyokuwa kwani anadai alinusurika baada ya kuwa alikuwa amefunga
                                     mkanda,ila jirani ake alikuwa amekaa na mama mwingine ambaye ameumia
                                      sana sababu hakufunga mkanda.

No comments: