Wednesday

LADY GAGA APATA KAZI YA UPAPARAZI....!


 


Mbali na kuimba,kucheza na kuvaa nguo za ajabu ajabu na kuwavutia designers kadhaa,Stefani Joanne Angelina Germanotta aka Lady Gaga anatarajiwa kujiunga na V Magazine kama muandishi na jarida la kwanza litatoka May 12,2010
Na kwa sasa Lady Gaga na V Magazine wametangaza tender ya kutengeneza artwork kwa ajili ya jarida hilo

No comments: