Wednesday

DR DRE KUTOA NEW SINLGE NA EMINEM....IJUMAA!


ANDRE ROMELLE YOUNG AKA DR DRE
Andre Romelle Young aka Rapper Dr Dre ataungana tena na Eminem kupiga collabo single ambayo itakua kwenye album ya 3 na ya mwisho iitwayo Detox itakayokua released baadaye mwaka huu
Single itaitwa Die Hard,na itatoka Ijumaa ya May 6,2011na mpaka sasa haijajulikana kuwa Album ya Detox itatoka lini ila Dr Dre ameshatoa singles 3 kali,Kush FT Snoop Dogg na Akon,I need a doctor FT Eminem na Skylar Grey na Die Hard Ft Eminem
....Single ya I Need a Doctor,kwa sasa iko No. 16 okwenye Billboard Hot 100

No comments: