Friday

Lil Kim anatoka na kitu cha Black Friday "MIXTAPE


Mwanadada Lil Kim anaendeleza beef lake na Nick Minaj…. Alianza na ngoma inayoitwa Black Friday …akaja na Video na sasa ni kitu cha Mixtape…ambayo itatoka siku ya Valentine’s Day. 2/14/11...“Black Friday the mixtape – 2/14/11- WHO THE F*** WAR? #ItsBlackFridayHoe LEGOOOO!!!!! hayo ni maneno ya lil kim alioandika kwenye tweeter.

No comments: