Thursday

Jela yawazuia Snipes, T.I., DMX, na Cam kupokea zawadi za X-Mas

Wesley Snipes, T.I., DMX, and Cameron Douglas ni macelebs wanaotumikia vifungo jela wamezuiliwa kupokea zawadi yoyote ya X-Mas kutoka njee ya jela lakini wanarusiwa kuonana na watu wanaoenda kuwatembelea na kupiga simu chache....sheria hiyo imeekwa kwaajili ya usalama..

No comments: