Thursday




3. Picha ambayo T-pain kapigwa juzi kati na mwanadada Keisha cole wakiwa club imeanza kuleta utata, Kwenye picha wanaonekana wakiwa wamekaa huku wamekumbatiana alafu mwanadada Keisha cole kashika madola kibaoooo….!! Alafu kidizaini kama wanataka kukiss hivi…



Sasa utata umeanza baada ya T-pain kuulizwa kuusu ile picha…, Jamaa akaanza kupaniki mbayaaa yani…!! Na kusema kuwa wao ni marafiki tuuuu wala awafanyi mapenzi...., na kuwa anapenda jinsi mwanadada anavyotupia na yupo independent .. Na kampatia a.k.a anamuita K-Pain…

No comments: