Pages

Friday

Kuna siku nilikuwa nimepita mahali nikawa nimekaa namsubiri mtu,sasa pembeni yangu kulikuwa na meza ambayo wamekaa wanaume 7.Baada ya muda akaja jamaa ameongozana na mwanamke akawa amefika katika ile meza akawa anawaambia wale majamaa 7 kuwa ametoka leo ameamua kuja pale na wife...majamaa wakamkaribisha shemeji yao na kuhakikisha anapatiwa huduma zote.Sasa kilichoendelea ni kwamba yule dada akawa hayupo sehemu ya mazungumzo pale.Wale wanaume wakaanza kuongea mambo yao ya mpira,siasa na mengine ya kikazi.Dada wa watu akawa anachezea tu simu yake na kucheka kidogo na kuongea mara chache pale anapoweza kuongea lakini kwa kumtazama alikuwa bored.
Sasa leo kwenye leo tena nikahoji hali kama hii inapokutokea umetoka na mpenzi wako lakini huko anakutana na marafiki zake 3 au 4 mnakaa na kujumuika nao wewe unakuwa katika hali gani?unaenjoy?
MSG zilizoingia baadhi:
1.Kwa mimi sitajisikia vizuri maana nitaboreka na maongezi

No comments:

Post a Comment